Kitenzi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
Na EMANUEL GASPA KAWISHE. {{ExamplesSidebar|35%|
*''''Anacheza''' muziki
*'''Wanaenda''' kazini
Mstari 14:
Ndani ya shina kuna tofauti kati ya mzizi wa neno "fany" na kiambishi tamati ambacho ni silabi "a".
 
Mzizi wawda kitenzi mwenyewe haubadiliki wakati wowote kitenzi kitaponyambuliwa katika kauli yoyote iwayo.
 
Vitenzi kwa Kiswahili hupokea viambishi mbalimbali vinavyoeleza kwa undani zaidi maana ya matumizi ya neno. Viambishi awali ni silabi zilizopo mbele ya mzizi na viambishi tamati ni silabi zilivyopo baada ya mzizi wa kitenzi.