Uthai : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 13:
|government_type = [[Serikali ya kijeshi]] chini ya [[Ufalme wa kikatiba]]
|leader_titles = [[Mfalme]]<br />[[Waziri Mkuu]]<br />
|leader_names = [[BhumibolMaha AdulyadejVajiralongkorn]]<br />[[Prayut Chan-o-cha]]<br />
|area_rank = ya 51
|area_magnitude = 1 E11
Mstari 59:
Nchi iliitwa rasmi '''Siam''' (สยาม) hadi mwaka [[1939]], tena kati ya [[1945]] na [[1949]].
 
[[Neno]] ''Thai'' (ไทย) lamaanishalinamaanisha "uhuru" kwa [[Kithai]] ni pia [[jina]] la kundi kubwa la watu nchini ambao ni [[Wathai]] (75-85[[%]]), mbali na Wathai-Wachina (12%).
 
Tangu tarehe [[19 Septemba]] [[2006]] nchi imetawaliwa na kamati ya [[jeshi]]. Jeshi [[Mapinduzi|ilipindua]] [[serikali]] ya [[waziri mkuu]] [[Thaksin Shinawatra]] bila kumwaga [[damu]]. Viongozi wa kijeshi walipatana na [[mfalme]] ya kwamba wataandaa [[uchaguzi]] mpya.
 
==Watu==
Nchini Uthai kuna [[lugha]] za asili 73 (angalia [[orodha ya lugha za Uthai]]). Kati yake, [[Kithai]] ndiyo [[lugha rasmi]].
 
Wathai walio wengi (94.6%) hufuata [[dini]] ya [[Ubuddha]] wakatika [[madhehebu]] ya [[Theravada]]. Kusini, mpakani kwa Malaysia, kuna [[Uislamu|Waislamu]] (4.6%). [[Wakristo]] ni 0.7%.
 
== Tazama pia ==