Mamalia : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 24:
Kuna takriban [[spishi]] 5,400 za mamalia. Spishi 5 kati ya hizo wanataga ma[[yai]], lakini wengine wote wanazaa watoto hai.
 
SpishiUkubwa ndogounatofautiana nisana, kuanzia spishi ndogo aina ya [[popo]] mwenye [[urefu]] wa [[sentimita]] 4 pekee hadi spishi kubwa [[nyangumi|nyangumi buluu]] mwenye urefu wa [[mita]] 33.
 
== Uainishaji ==
Mamalia ni [[ngeli]] ya [[faila]] [[Kodata]].
 
Ngeli yao hugawiwa katika [[nusungeli]] [[mbili]]:
* [[Prototheria]] ni mamalia wanaotaga mayai au kubeba watoto wao ndani ya mfuko wa mwilini kwa muda fulani baada ya kuzaa
* [[Theria]] ni mamalia wa kawaida na spishi nyingi zimo humo.
Mstari 42:
 
{{mbegu-biolojia}}
<!-- interwiki -->
 
[[Jamii:Mamalia|*]]