Uchumi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 4:
 
[[Sayansi ya Uchumi]] (kwa [[Kiingereza]] ''economics'') ni [[tawi]] la elimu inayochunguza masharti ya uchumi kufaulu au kushindwa.
 
== Sekta za uchumi ==
 
[[Uchumi: Badirisho la pesa]]
 
EA Shilling(XUG):
 
XUG:=: XIG
 
XUG GBP
0.075843. 21.202952. 0.271%
 
XUG EUR
0.064107. 17.921773. 0.308%
 
XUG CAD
0.045025. 12.587266. 0.05%
 
XUG AUD
 
0.044624. 12.47514.
 
== Sekta za uchumi ==
Uchumi wa [[jadi]] katika nchi nyingi ulikuwa hasa [[kilimo]] cha kujikimu pamoja na [[biashara]] ya kubadilishana bidhaa kadhaa zenye [[thamani]] kubwa. Kwa mfano, tangu kale [[mgodi|migodi]] ya [[Zimbabwe]] ilichimba [[dhahabu]] iliyopelekwa baadaye hadi [[Asia]] na kando ya [[Mediteranea]].
 
Katika uchumi wa kisasa mara nyingi sekta [[tatu]] hutofautishwa:
 
* Sekta ya msingi: kutoa na kuzaa [[malighafi]] pamoja na [[zao|mazao]] katika [[mazingira]] asilia. Mifano ni [[kilimo]], [[uchimbaji wa madini]], [[uvuvi]] au [[kuvuna ubao]].