Kulturkampf : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'thumb|200px|Papa Pius IX (1878 hivi). File:Bundesarchiv Bild 183-R29818, Otto von Bismarck.jpg|thumb|left|upright|Bismarck (1875...' |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[File:IX. Piusz pápa.jpg|thumb|200px|[[Mwenye heri]] Papa Pius IX (1878 hivi).]]
[[File:Bundesarchiv Bild 183-R29818, Otto von Bismarck.jpg|thumb|left|upright|Chansela Otto von Bismarck (1875 hivi).]]
'''Kulturkampf''' (kwa [[Kijerumani]] "[[Vita]] vya [[utamaduni]]") ni jina la ushindani kati ya [[serikali]] za nchi kadhaa, hasa [[Dola la Ujerumani]] chini ya [[
Serikali nyingi zilitaka kushika [[mamlaka]] zote juu ya [[raia]] zake, wakati [[Papa]] na [[Askofu|maaskofu]] hawakupenda kupotewa na athira zao za muda mrefu juu ya waumini katika masuala ya kijamii.
Ushindani huo ulipata nguvu ya pekee Ujerumani baada ya nchi hiyo kuunganishwa chini ya [[Prussia]] na kutenga [[Austria]]. Hapo dola jipya lilijikuta kuwa na [[asilimia]] ya [[Waprotestanti]] kubwa kuliko awali ambapo [[Wakatoliki]] walikuwa wengiwengi. Hasa Prussia iliyoongoza dola hilo ilikuwa ya Kiprotestanti kabisa.
Mgongano ulisababisha serikali ya Prussia na ya Dola lote kutunga mfululizo sheria za kubana Kanisa Katoliki, na pia kufunga maaskofu wake.
==Tanbihi==
|