Leopold Sedar Senghor : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Kipala alihamisha ukurasa wa Léopold Sédar Senghor hadi Leopold Sedar Senghor |
No edit summary |
||
Mstari 18:
|signature = Senghorsig.jpg
}}
'''Léopold Sédar Senghor''' ([[9 Oktoba]] [[1906]] – [[20
Senghor alikuwa [[Mwafrika]] wa kwanza aliyechaguliwa kuwa mwanachama wa ''[[Académie française]]''. Kabla ya [[uhuru]] wa nchi yake aliunda [[Chama cha kisiasa|chama]] cha [[Umoja wa Kidemokrasia wa Senegal]] (kwa [[
==Maisha==
Senghor alizaliwa katika [[kijiji]] cha Joal kilichowahi kuwa kati ya vituo vya kwanza vya [[wafanyabiashara]]
Alipokuwa na [[umri]] wa miaka 8 alianza
Alimaliza vema hasa kwa masomo ya [[Kifaransa]] na [[Kilatini]] akapewa nafasi ya kusoma [[chuo]] [[Ufaransa]] <ref>Bryan Ryan. ''Major 20th-Century Writers: a selection of sketches from contemporary authors'', Volume 4, Gale Research, 1991. ISBN 0-8103-7915-5, ISBN 978-0-8103-7915-2</ref>.
1928 Senghor alienda Ufaransa aliposoma lugha <ref>Janet G. Vaillant. ''Black, French, and African: a life of Léopold Sédar Senghor'', Harvard University Press, 1990. ISBN 0-674-07623-0, ISBN 978-0-674-07623-5</ref> na baadaye sarufi ya Kifaransa kweye Chuo Kikuu cha Paris. Baada ya masomo alipewa nafasi ya kufundisha kwenye vyuo vya Tours na Paris. 1932 aliwahi kupata uraia wa Ufaransa. ▼
▲Mwaka [[1928]] Senghor
Tangu siku zake masomoni alikuwa na urafiki na Aime Cesaire na pamoja naye alibuni hoja la "negritude" walipotetea kuwepo kwa utamaduni wa pekee wa "watu weusi" kama utamaduni wa pekee na muhimu tofauti na utamaduni wa Kiulaya.▼
▲Tangu siku zake masomoni alikuwa na [[urafiki]] na Aime Cesaire na pamoja naye alibuni hoja
Mwaka 1945 baada ya vita na uhuru wa Ufaransa alijiunga na chama cha kisoshalisti akachaguliwa kama mbunge. ▼
▲Mwaka [[1945]], baada ya [[vita vikuu vya pili]] na
1960 alichaguliwa kuwa rais wa kwanza wa Senegal akaendela kushika naafsi hii hadi 1980.▼
▲Mwaka 1960 alichaguliwa kuwa rais wa kwanza wa Senegal akaendela kushika
==Marejeo==
<references/>
{{mbegu-mwanasiasa}}
[[jamii:wanasiasa wa Senegal]]
|