Mawasiliano : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Tags: Mobile edit Mobile web edit |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Mawasiliano''' ni [[mchakato]] wa kuhamisha [[taarifa]] kutoka
Mawasiliano kwa kawaida hufafanuliwa kama "
Ingawa kuna
== Muhtasari ==
Mawasiliano ni mchakato ambapo habari hupakiwa na kutumwa na kupashwa na
Mawasiliano huhitaji kwamba
== Mabadiliko katika mawasiliano ==
Mabadiliko ya mwanzo
Mabadiliko ya pili
Mabadiliko ya tatu
Kwa hiyo mawasiliano ni njia inayotumiwa katika kutoa na kufikisha [[maana]] katika [[jaribio]] la kusababisha [[ufahamu]] wa jumla. [[Utaratibu]] huu unahitaji mkusanyiko mkubwa wa ujuzi wa mawasiliano miongoni mwa na baina ya watu, kusikiliza, kutazama, kuongea, kuhoji, kuchambua
Pia kuna vi[[kwazo]] vingi vya kawaida katika mawasiliano. Viwili kati
== Aina za mawasiliano ==
Kuna sehemu tatu kuu katika mawasiliano ya [[binadamu]] ya ana kwa ana ambayo ni miondoko ya
* 55% ya [[athari]] hulingana na miondoko ya
* 38% hulingana na toni ya sauti, na
* 7%
Ingawa [[asilimia]] ya [[ushawishi]] inaweza ikabadilika kulingana na [[sababu]] tofauti, kama vile [[msikilizaji]] na [[msemaji]], mawasiliano kwa jumla hulenga kutimiza lengo moja, kwa hiyo, katika baadhi ya ma[[tukio]], huwa yanafanana kote duniani. Mfumo wa ishara, kama vile sauti, kiimbo au [[uzito]] wa sauti, ishara za mikono au za uso au ishara zilizoandikwa ambazo huwasilisha mawazo au [[hisia]].
Ikiwa [[lugha]] inahusu kuwasiliana kwa ishara, sauti, [[mlio]], ishara za uso au za mikono, au ishara zilizoandikwa, je, mawasiliano ya [[wanyama]] yanaweza kuchukuliwa kama lugha? Wanyama hawana lugha iliyoandikwa, lakini mawasiliano ya wanyama yanaweza kuchukuliwa kama lugha ya namna yake.
Lugha za [[binadamu]] zinazozungumzwa na kuandikwa zinaweza kufafanuliwa kama [[mfumo]] wa [[ishara]] (zinazojulikana wakati mwingine kama [[leksia) na sarufi (kanuni)|leksia) na [[sarufi]] [[wiktionary:rule|(kanuni)]]]]) ambayo ishara hizo huzingatia. Neno "lugha" pia hutumika kurejelea [[sifa]] bainifu za lugha. [[Kujifunza Lugha]] ni jambo la kawaida katika [[utoto]] wa binadamu. Lugha nyingi za binadamu hutumia mifumo ya [[sauti]] au [[ishara]] ambazo huwezesha mawasiliano baina ya mtu na wenzake. Kuna ma[[elfu]] ya lugha za binadamu, na huwa na sifa bainifu, ingawa nyingi ya sifa hizi huwa na upekee.▼
Lugha za [[binadamu]] zinazozungumzwa na kuandikwa zinaweza kufafanuliwa kama [[mfumo]] wa [[ishara]] (zinazojulikana wakati mwingine kama [[leksia]] na [[sarufi]]) ambayo ishara hizo huzingatia. Neno "lugha" pia hutumika kurejelea [[sifa]] bainifu za lugha.
Hakuna mgawanyo dhahiri kati ya lugha na [[lahaja]], lakini [[mwanaisimu]] [[Weinreich Max]] anatambuliwa kwa kusema kuwa "lugha ni lahaja iliyo na [[jeshi]] la nchi kavu na la [[maji]]ni ". [[Lugha za kuundwa]] kama vile [[Kiesperanto]], lugha za [[tarakilishi]], na ma[[umbo]] mbalimbali ya [[hisabati]] haziko chini ya sifa bainifu zinazohusisha lugha za binadamu.▼
▲
▲Hakuna mgawanyo dhahiri kati ya lugha na [[lahaja]], lakini [[mwanaisimu]] [[Weinreich Max]] anatambuliwa kwa kusema kuwa "lugha ni lahaja iliyo na [[jeshi]] la nchi kavu na la [[maji]]ni
=== Mawasiliano kwa Ishara/kutazama ===
[[Mawasiliano kwa ishara]] ni mchakato wa kuwasiliana kwa njia ya kutuma na kupokea [[ujumbe]] usiohusisha maneno. Ujumbe kama huo unaweza kuwasilishwa kupitia ishara za uso au mikono, miondoko ya kimwili au jinsi ya kukaa; ishara ya uso na kutazamana machoni, mawasiliano kwa vitu kama vile ma[[vazi]] uliyovalia, jinsi ulivyotengeza [[nywele]], au hata kwa michoro, pia kupitia jumla ya njia zilizoandikwa hapo juu, kama vile mawasiliano kupitia kwa [[tabia]]. Mawasiliano kwa ishara huwa na [[jukumu]] muhimu katika [[maisha]] ya kila [[siku]] ya kila mtu, iwe ni katika uhusiano wa ki[[ajira]] hadi wa ki[[mapenzi]].
Mazungumzo pia huwa na vipengele vya mawasiliano kwa ishara yanayojulikana kama 'paralanguage' au 'viziada-lugha', ambayo huhusisha [[ubora]] wa sauti, hisia na mitindo ya kuzungumza, ikiwa pamoja na sifa za kiarudhi kama vile [[mdundo]], [[
Aina zingine za mawasiliano kama vile [[telegrafia]] huwa katika [[kategoria]] hii, ambapo ishara hupitishwa kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine kwa njia tofauti. Ishara hizi zinaweza kuwa viwakilishi vya maneno, vifaa au ma[[kadirio]] tu. Ma[[jaribio]] yameonyesha kwamba binadamu wanaweza kuwasiliana moja kwa moja kupitia kwa njia hii <ref>
'''Kategoria na sifa'''
GW Porter anagawanya mawasiliano kwa ishara katika kategoria nne:
'''Kimwili.''' Hii ni aina ya mawasiliano ya kibinafsi. Mawasiliano haya yanahusisha ishara za uso, toni ya sauti, kugusa, kunusa, na miondoko ya mwili.
'''Ujumi.''' Hii ni aina ya mawasiliano ambayo hufanyika kupitia kwa njia za ubunifu: kucheza ala ya muziki, dansi, uchoraji na uchongaji.▼
▲'''Ujumi''' Hii ni aina ya mawasiliano ambayo hufanyika kupitia kwa njia za ubunifu: kucheza ala ya muziki, dansi, uchoraji na uchongaji.
'''Ishara.''' Hii ni aina ya mawasiliano, ambayo inajumuisha matumizi ya bendera za ishara, milio 21 ya bunduki, pembe, na ving'ora.
'''Kiashiria.''' Hii ni aina ya mawasiliano ambayo inatumia alama za kidini, hadhi, au za kujenga nafsi.
Line 59 ⟶ 60:
'''Sifa zisizobadilika'''
'''Umbali.''' Umbali mtu mmoja anaosimama kutoka kwa mtu mwingine kwa kawaida huwasilisha ujumbe fulani. Katika baadhi ya tamaduni hii ni ishara ya mvuto, na kwa wengine inaweza kuonyesha hadhi au umuhimu wa ujumbe unaopitishwa.
'''Namna ya kujiwasilisha.''' Watu wanaweza kujiwasilisha kwa njia mbalimbali: uso kwa uso, ubavu kwa ubavu, au hata wakifuatana. Kwa mfano, watu walio na ushirikiano kuna uwezekano watakaa ubavu kwa ubavu na washindani wakati mwingi hutazamana.
'''Namna ya kukaa.''' Kwa kawaida mtu anaweza kuwa amelala chini, ameketi, au amesimama. Hivi sio vipengele vya mkao vinavyowasilisha ujumbe. Je, sisi tunatembea kwa kujikokota au tumesimama wima? Tunakunja miguu au mikono yetu? Njia kama hizi za kukaa huwasilisha kiwango cha urasmi na kiwango cha mapumziko katika mawasiliano.
'''Mgusano wa
▲'''Mgusano wa Kimwili.''' Kusalimiana kwa mikono, kugusana, kushikana, kukumbatiana, kusukumana, au kupiga kikofi mgongoni, haya yote huwasilisha ujumbe. Huwa yanaashiria urafiki au hisia za (au ukosefu wa) mvuto.
'''Sifa Badilifu'''
'''Ishara za Uso.''' Tabasamu, kukunja uso, kuinua nyusi, piga miayo, na kukenua, hivi vyote huwasilisha habari. Ishara za uso hubadilika mara kwa mara wakati wa mawasiliano na hufuatiliwa sana na mpokeaji. Kuna ushahidi kuwa maana ya ishara hizo inaweza kuwa sawa katika tamaduni mbalimbali.
'''Ishara.''' Mojawapo ya ishara zinazotumiwa, lakini zisizoeleweka, ni vidokezo katika mwondoko wa mkono. Watu wengi hutumia miondoko ya mkono mara kwa mara wakati wanapoongea. Wakati baadhi ya ishara (mfano, kukunja ngumi) zina maana bia, nyingi za ishara huwa kila mtu anajifunza kibinafsi na zina upekee.
'''Kutazama.''' Kipengele kikubwa cha mawasiliano ya kijamii ni kutazamana macho. Kipengele hiki kinaweza kuwasilisha hisia, ashiria wakati wa kuzungumza au kuwacha kuzungumza, au chuki. Marudio ya kutazamana yanaweza kuonyesha aidha shauku au kuchoka.
=== Mawasiliano ya Kutazama ===
[[Mawasiliano ya kutazama]], kama jina
Tathmini ya muundo mzuri wa kutazamwa hujikita kwenye kupima ufahamu na watazamaji, na wala siyo kwenye ujumi au upendeleo wa kisanii. Hakuna-kanuni bia za uzuri na ubaya. Kuna njia mbalimbali za kuwasilisha taarifa kwa kutazama, kama vile [[kutumia ishara,]] miondoko ya kimwili, video na TV. Hapa, lengo liko kwenye kuwasilisha matini, picha, michoro, na kadhalika, zikiunganishwa kwenye maonyesho ya tarakilishi. Dhana wasilisho la kutazama hutumiwa kurejelea uwasilishaji halisi wa taarifa. Utafiti wa hivi karibuni katika sehemu hii umelenga [[miundo ya tovuti]] na matumizi ya grafiti. [[Waundaji wa grafiti]] hutumia mbinu za mawasiliano ya kutazama katika kazi yao.
Line 96 ⟶ 88:
* [[Mawasiliano ya grafiki]]
* [[Mawasiliano yasiyo na ukatili]]
* [[Mawasiliano ya mdomo]]e
* [[Mawasiliano ya sayansi]]
* [[Mawasiliano ya kimkakati]]
Line 103 ⟶ 95:
* [[Mawasiliano ya kiununuzi]]
== Mawasiliano ya
Mawasiliano
Katika mawasiliano ya mdomo, inawezekana kutumia vielelezo ili kukusaidia kuwasilisha habari kwa usahihi zaidi. Mara nyingi, tunaweza kutumia [['PowerPoint']] katika mawasilisho yanayohusiana na hotuba zetu ili kuwezesha au kuboresha mchakato wa mawasiliano. Ingawa, hatuwezi kuwasiliana kwa kutumia vielelezo tu kwa sababu sisi hatutakuwa tukizungumza kuhusu mawasiliano ya mdomo tena.
Line 130 ⟶ 116:
Nadharia za [[urekebishaji-pamoja]] huelezea mawasiliano kama mchakato wa ubunifu na unaobadilika badilika, unaoendelea wala si kubadilishana tu kwa habari. Mwanataaluma wa vyombo vya habari kutoka Kanada [[Innis Harold]] alikuwa na nadharia kwamba watu hutumia njia mbalimbali kuwasiliana na njia watakayochagua kutumia itawapa uwezekano tofauti wa kuumba na kudumisha jamii (Wark, McKenzie 1997). Mfano wake maarufu wa kufafanua haya ni kutumia [[Misri ya kale]] na kuangalia vile wao walijijenga wenyewe nje ya vyombo vya habari kwa aina tofauti za mawe na mafunjo. Mafunjo ndiyo aliyoyaita ''''Kufunga Nafasi (Space Binding)'.''' Kufunga huku kuliwezesha kupitishwa kwa maandishi kutoka sehemu moja hadi nyingine na kuwezesha kufanyika kwa kampeni za kijeshi za mbali na utawala wa kikoloni. Mengine ni jiwe na ''''Kufunga Wakati (Time Binding)',''' kupitia ujenzi wa mahekalu na piramidi, wanaweza kuendeleza mamlaka yao kizazi hadi kizazi, kwa kupitia njia hii ya kupitisha habari, wanaweza kubadilika na kuumba ya mawasiliano katika jamii yao (Wark, McKenzie 1997).
[[Krishi Vigyan Kendra Kannur]]
== Bila mawasiliano ya watu ==
Mawasiliano katika mingi ya mitazamo yake hayajajifungia tu kwa [[binadamu]], au hata kwa [[sokwe.]] Kila [[mabadilishano ya habari]] kati viumbe vilivyo hai - yaani kubalishana kwa [[ishara]] kunakohusiha mtumaji na mpokeaji walio hai - kunaweza kuchukuliwa kama njia ya mawasiliano. Kwa hivyo, kuna uwanja mpana wa [[mawasiliano ya wanyama,]] ambayo yanahusisha mengi ya masuala katika [[ethnolojia.]] Pia wanyama waasili kama mwamba tumbawe wanaweza kuwasiliana. <ref> Witzany G, Madl P. (2009). Biocommunication of corals. International Journal of Integrative Biology 5 (3): 152-163.</ref> Katika ngazi ya kimsingi zaidi, kuna [[kupatiana ishara kati ya seli, mawasiliano ya seli,]] na mawasiliano ya kemikali kati ya viumbe asili kama [[bakteria,]] <ref> Witzany G (2008). Bio-Communication of Bacteria and their Evolutionary Roots in Natural Genome Editing Competences of Viruses. Open Evolution Journal 2: 44-54.</ref> na miongoni mwa [[mimea]] na [[himaya za kuvu]]. Michakato hii yote ya mawasiliano huhusisha mitagusani inayoshirikisha ishara zilizo na ratibu bainifu mbalimbali.
[[Mawasiliano ya wanyama]] ni [[tabia]] yoyote kwa upande wa mnyama mmoja iliyo na athari ya sasa au baadaye kwenye tabia ya mnyama mwingine. Bila shaka, mawasiliano ya binadamu yanaweza kujumlishwa kama mawasiliano ya wanyama yaliyoendelezwa. Utafiti wa mawasiliano ya wanyama, uitwao
Jambo hili ni dhahiri kwani binadamu huwa wanaweza kuwasiliana na wanyama, hasa [[pomboo]] na wanyama wengine ambao hutumika katika [[sarakasi]]. Hata hivyo, hawa wanyama hulazimika kujifunza njia za kipekee za mawasiliano. Mawasiliano ya wanyama, na haswa kuelewa ulimwengu wa mnyama kwa ujumla, ni [[taaluma]] inayokua kwa kasi, na hata katika [[karne ya 21]] kufikia sasa, uelewa mwingi wa hapo awali kuhusiana na nyanja mbalimbali kama vile matumizi ya kiishara ya [[jina]], [[hisia za wanyama]], [[utamaduni === Mimea na kuvu ===
Miongoni mwa [[mimea]], mawasiliano huonekana ndani ya mmea wenyewe
Maana asilia ya neno nyuro katika [[Kigiriki]] ni "nyuzinyuzi za mboga" na kama utafiti wa hivi karibuni unavyoonyesha, mengi ya mawasiliano ya ndani ya mmea [[Kuvu]] huwasiliana ili kuratibu na kupanga ukuaji wao wenyewe na maendeleo yao kama vile malezi ya [[seli zake]] na [[sehemu za kuota
== Mawasiliano kama taaluma ya kiakademia ==
|