Elimu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 1:
[[Picha:AF-kindergarten.jpg|thumb|Darasa la [[chekechea]] nchini [[Afghanistan]].]]
[[Picha:Inukshuk Monterrey 1.jpg|thumb|Darasa la shule ya msingi katika [[Meksiko]].]]
[[Picha:5th Floor Lecture Hall.jpg|thumb|right|Darasa la chuoni katika [[New York City]]
'''Elimu''' kwa [[maana]] pana ni [[tendo]] au uzoefu wenye [[athari]] ya kujenga [[akili]], [[tabia]] ama [[uwezo]] wa kimaumbile wa mtu binafsi. Katika [[dhana]] ya ki[[ufundi]], elimu ni [[njia]] ambayo hutumiwa ma[[kusudi]] na jamii kupitisha [[maarifa]], [[ujuzi]] na [[maadili]] kutoka kwa [[kizazi]] kimoja hadi kingine.
Mstari 48:
=== Elimu ya watu wazima ===
Elimu ya ngumbaru au ya watu wazima imekuwa kawaida katika nchi nyingi. Elimu hii huchukua maumbo mengi yakiwemo elimu rasmi darasani, elimu ya
=== Elimu mbadala ===
[[Elimu mbadala]], ambayo pia hujulikana kama ''elimu isiyo rasmi'', ni dhana yenye maana pana na inayoweza kutumiwa kurejelea aina zote za
Hujumuisha si tu mitindo ya elimu inayokusudiwa wanafunzi wenye mahitaji ya pekee lakini pia mitindo inayolenga hadhira ya jumla na kutumia mitindo na [[falsafa ya elimu|falsafa badala ya elimu]].
|