Elimu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 123:
== Historia ya elimu ==
[[Picha:Laurentius de Voltolina 001.jpg|left|thumb|[[Mchoro]] wa [[Chuo Kikuu cha Bologna]], [[Italia]].]]
Mabadiliko ya utamaduni na [[binadamu]] kama [[spishi]] yalitegemea mazoea ya kupitisha elimu. Katika jamii ambazo hazikujua kusoma, hili liliafikiwa kupitia [[mdomo]] na kuiga. Kusimuliana [[hadithi]] kuliendelezwa kutoka [[kizazi]] kimoja hadi kingine.
Siku hizi aina fulani ya elimu ni jambo la lazima kwa watu wote katika nchi nyingi. Kwa sababu ya ongozeko la watu na kuenea kwa [[elimu ya lazima]], Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa ([[UNESCO]]) limepiga hesabu ya kwamba miaka 30 ijayo, watu wengi zaidi ulimwenguni watapata elimu rasmi katika historia ya binadamu.<ref> Robinson, K.: ''[http://www.ted.com/talks/ken_robinson_says_schools_kill_creativity.html Shule Kill Creation.]'' TED Talks, 2006, Monterrey, CA, USA.</ref>▼
[[Lugha]] ya mazungumzo iliendelea na kuwa [[ishara]] na [[herufi]]. [[Kina]] na [[upana]] wa elimu au maarifa ulioweza kuhifadhiwa na kupitishwa uliongezeka zaidi na zaidi. Wakati ambapo tamaduni zilianza kupanua elimu zaidi ya ujuzi wa kawaida wa [[mawasiliano]], [[biashara]], [[ukusanyaji chakula]], tunu na [[desturi]] za [[Dini|kidini]] na kadhalika, mwishowe [[elimu rasmi]] na masomo vilifuatia. Kisomo kwa maana hii kilikuwa kimeshaanza nchini [[Misri]] kati ya [[3000 KK|3000]] na [[500 KK]].
▲Siku hizi aina fulani ya elimu ni jambo la lazima kwa watu wote katika nchi nyingi. Kwa sababu ya
== Falsafa ya elimu ==
|