Idi Amin : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 2:
[[Picha:Luwum and Amin.jpg|thumb|250px|Idi Amin pamoja na [[Askofu Luwum]] aliyeuawa baadaye kwa amri yake.]]
[[Picha:Amin is carried.jpg|thumb|250px|Idi Amin akibebwa kifalme na [[wafanyabiashara]] [[Waingereza]] huko [[Kampala]].]]
'''Idi Amin Dada''' alikuwa [[mwanajeshi]] kutoka nchi ya Uganda aliyepindua [[serikali]] na kujifanya [[Orodha ya Marais wa Uganda|rais]] wa [[Uganda]] tangu mwaka [[1971]] hadi [[1979]] hadi
Idadi ya watu
Katika miaka yake ya kushika serikali Amin alibadilika kutoka uhusiano wa kirafiki na [[nchi za magharibi]] na hasa [[Israeli]] kuhamia upande wa [[Muammar Gaddafi]] wa [[Libya]], [[Mobutu Sese Seko]] wa [[Zaire]], [[Umoja wa Kisovyeti]] na [[Ujerumani ya Mashariki]].<ref name=libya1>{{cite book|title=Africa Since 1800|author=Roland Anthony Oliver, Anthony Atmore|page=272}}</ref><ref name=ussr1>{{cite book|title=Who influenced whom?|author=Dale C. Tatum|page=177}}</ref><ref name=gdr1>Gareth M. Winrow. ''The Foreign Policy of the GDR in Africa'', p. 141.</ref> Hata hivyo Amin alipata usaidizi wa [[ofisi ya upelelezi ya Marekani CIA]] iliyotuma [[silaha]] na vifaa vingine kwa jeshi lake.<ref>New York Times, Dec. 17, 1986; ''Paper Cites CIA Aid to Amin's Army in 70s''</ref>
Mwaka [[1977]] Amin alivunja [[uhusiano wa kidiplomasia]] na [[Ufalme wa Maungano]] ([[Uingereza]]) akajitangaza kuwa alishinda na
Jaribio la Amin la kutwaa sehemu za [[Mkoa wa Kagera]] wa [[Tanzania]] kwenye mwaka [[1978]] lilisababisha [[Vita ya Kagera]] baina ya Tanzania na Uganda na mwisho wa utawala wake. Amin alikimbia kukaa ugenini [[Libya]] na baadaye [[Saudia]] alipoishi hadi [[kifo]] chake mwaka 2003.
==Maisha==
===Alikotoka===
Hakuna uhakika juu ya mwaka na mahali alikozaliwa. Amin mwenyewe hakuandika kumbukumbu ya maisha yake wala hakuagiza taarifa rasmi juu ya maisha yake. Vyanzo mbalimbali vinasema ya kwamba alizaliwa mnamo [[1925]] [[Koboko]] au [[Kampala]]. <ref>''[[Encyclopædia Britannica]]'', ''[[Encarta]]'' na ''[[Columbia Encyclopedia]]'' vinasema alizaliwa Koboko au Kampala takriban 1925 na tarehe kamili haijulikani.</ref> Mtafiti Fred Guweddeko amedai Amin alizaliwa 17 Mei 1928,<ref name="monitor_01012004" /> lakini hii imepingwa.<ref name=okadameri>{{cite news|url=http://www.mail-archive.com/ugandanet@kym.net/msg06472.html|title=Separate fact from fiction in Amin stories|work=Originally published in ''[[Daily Monitor|The Monitor]]''|last=O'Kadameri|first=Billie|date=1 September 2003|accessdate=8 May 2010}}</ref> Mwanawe Amin Hussein alisema babake alizaliwa Kampala mwaka 1928.<ref>{{cite news|last=Elliott|first=Chris|title=Idi Amin's son complains about the Guardian’s obituary notice|date=30 November 2014|url=https://www.theguardian.com/commentisfree/2014/nov/30/idi-amin-son-complaint-guardian-obituary|newspaper=[[The Guardian]]|accessdate=1 December 2014}}</ref>
Kufuatana na Fred Guweddeko wa [[Chuo Kikuu cha Makerere]] Idi Amin alikuwa [[mwana]] wa Andreas Nyabire (1889–1976) wa [[kabila]] la [[Wakakwa]], ambaye alikuwa [[Mkatoliki]] aliyehamia [[Uislamu]] mnamo [[1910]] akibadilisha [[jina]] lake kuwa Amin Dada na kumpa mwana wa kwanza jina hilo pia.
Iddi Amin alilelewa na [[mama]] yake bila [[baba]] [[Kijiji|kijijini]] katika Uganda ya Kaskazini-magharibi. Kufuatana na Gudewekko mamake Amin Assa Aatte (1904–1970) alikuwa [[Mlugbara]] aliyetibu watu kwa [[mitishamba]]. Amin alisoma miaka kadhaa kwenye [[shule]] ya Kiislamu huko [[Bombo, Uganda|Bombo]] kuanzia mwaka [[1941]].
===Amin mwanajeshi===
Baada ya miaka michache ya shule na kazi ndogondogo aliajiriwa mwaka [[1946]] na [[afisa]] Mwingereza wa jeshi
Aliingia jeshini huko [[Jinja]] akifanya kazi ya msaidizi [[jiko|jikoni]] akiendelea kupokea mafunzo ya kijeshi.<ref name="britannica">{{cite web |url=http://www.britannica.com/eb/article-9007180|title=Idi Amin|archiveurl=https://web.archive.org/web/20070314142415/http://www.britannica.com/eb/article-9007180/Idi-Amin |archivedate=14 March 2007 |work=Encyclopædia Britannica|date=19 December 2008|accessdate=8 August 2009}}</ref> Baadaye Amin alidai ya kwamba alilazimishwa kuhudumia huko [[Burma]] katika [[Vita Kuu ya Pili ya Dunia]].<ref name="guardian_obit" /><ref name=portrait>{{cite video|publisher=Le Figaro Films|title=General Idi Amin Dada: A Self Portrait|year=1974|ISBN=0-7800-2507-5}}</ref><ref>{{cite news|url=http://www.strategypage.com/on_point/20030820.aspx|title=Why Didn't Amin Rot and Die in Jail?|work=Strategy Page|last=Bay|first=Austin|date=20 August 2003|accessdate=8 August 2009}}</ref> Mwaka [[1947]]
Aliendela kupanda vyeo vilivyopatikana kwa [[Waafrika]] katika jeshi la KAR na muda mfupi baada ya [[uhuru]] alipewa cheo cha [[luteni]] yaani afisa kamili kama mmoja wa Wauganda wawili. Baada ya uhuru wa Uganda mwaka [[1962]] alikuwa [[kapteni]] halafu mwaka [[1963]] [[meja]]. Mwaka [[1964]] alikuwa makamu wa mkuu na mwaka [[1965]] mkuu wa jeshi, mwaka [[1970]] mkuu wa mikono yote ya kijeshi.<ref name="monitor_01012004" /> In 1970, he was promoted to commander of all the armed forces.<ref name=britishcouncil>{{cite web|url=http://www.britishcouncil.org/learnenglish-central-history-amin.htm|title=General Idi Amin overthrows Ugandan government|publisher=British Council|date=2 February 1971|accessdate=8 August 2009|archive-url=https://web.archive.org/web/20070225004054/http://www.britishcouncil.org/learnenglish-central-history-amin.htm|archive-date=25 February 2007}}</ref>
{| class="wikitable" style="float:right; margin-left:3.5em; padding-left:2em; font-size:85%;"
Line 76 ⟶ 79:
===Mkuu wa Jeshi na mapinduzi===
Amin alipandishwa cheo na [[waziri mkuu]] [[Milton Obote]] baada ya [[uasi wa wanajeshi katika Afrika ya Mashariki wa 1964]] uliokomeshwa na askari Waingereza katika [[Tanganyika]], Kenya na Uganda akawa makamu wa mkuu wa Jeshi aliyekuwa bado Mwingereza. Kutoka hapa alishirikiana na Obote katika hatua za kuimarisha utawala wa waziri mkuu. Wakati [[bunge la Uganda]]
Amin alianza kuajiri hasa askari kutoka kaskazini ya Uganda mpakani
[[File:Obote cropped.png|thumb|right||[[Milton Obote]], Uganda's second President, whom Amin overthrew in a coup d'état in 1971]]
Mwaka 1970 Obote aliendelea kumpa Amin cheo cha mkuu wa mikono yote ya jeshi na ulinzi. Lakini Amin alisikia pia ya kwamba kulikuwa na
==Mtawala wa Uganda==
Line 104 ⟶ 107:
[[Jamii:Marais wa Uganda]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Uganda]]
|