Kichechen : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kichechen''' ni lugha ya Kikaukazi ya Kaskazini nchini Urusi inayozungumzwa na Wachechen. Mwaka wa 2010 idadi ya...' |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Kichechen''' ni [[Lugha za Kikaukazi ya Kaskazini|lugha ya Kikaukazi ya Kaskazini]] nchini [[Urusi]] inayozungumzwa na [[Wachechen]]. Mwaka wa 2010 idadi ya wasemaji wa Kichechen nchini Urusi imehesabiwa kuwa watu 1,350,000. Wachechen wengi, takriban laki moja, wamekimbia nchi yao na kuishi katika nchi za [[Kazakhstan]], [[Kirgizia]], [[Georgia (nchi)|Georgia]] na nyingine za [[Asia ya Kati]], [[Mashariki ya Kati]] au [[Ulaya]]. Idadi ya wasemaji katika nchi hizo hazijulikani, ila mwaka wa 2013, wasemaji 3200 walihesabiwa nchini [[Yordani]]. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kichechen iko katika kundi la Kinakh.
==Viungo vya nje==
|