Visiwa vya Karibi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:CaribbeanIslands.png|thumb|400px|Visiwa vya Karibi]]
'''Visiwa vya Karibi''' ni [[Elfu|maelfu]] ya [[visiwa]] vikubwa na vidogo katika [[Bahari ya Karibi]] ([[Atlantiki]]).
 
Eneo lote linachukua [[kilometa mraba]] 2,754,000, lakini nchi kavu ni km2 239,681 tu.
 
==Mgawanyiko wa kijiografia==
Mara nyingi vikundi vitatu vya visiwa hutofautishwa ambavyo ni:
 
Line 8 ⟶ 11:
* [[Visiwa vya Bahamas]]
 
==Mgawanyiko wa kiutawala==
VyoteVisiwa vilikuwavyote viliwahi kuwa ma[[koloni]] ya [[Hispania]], [[Uingereza]], [[Ufaransa]], [[Uholanzi]], [[Denmark]] au [[Marekani]]. Siku hizi vimegawanyika kiutawala katika nchi au maeneo 30 tofauti: vingi vimekuwa nchi huru au walau za kujitegemea kwa kiasi fulani.
 
Vingine vimekuwa sehemu kamili za nchi zilizopo ng'ambo, kwa mfano [[mikoa]] ya Ufaransa ya [[Martinique]] na [[Guadeloupe]], sehemu za [[ufalme wa Uholanzi]]Nchi kamaza [[BonaireChini]] nakama [[Korsou]] au maeneo ya Uingereza.
 
Vingine vina hali ya katikati; si koloni wala eneo kamili ya nchi ya ng'ambo, lakini havikutenga na kuwa nchi ya kujitegemea kama Puerto Rico iliyo nchi inayoshiriki na Marekani.
 
==Watu==
Wakazi marawote ni 43,489,000 (2016). Mara nyingi ni wa mchanganyiko wa asili ya [[Afrika|Kiafrika]], ya [[Mzungu|Kizungu]] na pia ya [[Waindio]] pamoja na watu wenye asili ya [[Asia]] (hasa [[Uhindi]], [[Indonesia]] na [[Uchina]]) katika visiwa ambako [[wafanyakazi]] walitafutwa ng'ambo baada ya mwisho wa [[utumwa]].
 
[[Lugha]] zinazotumiwa ni hasa [[Kihispania]] na [[Kiingereza]] pamoja na [[lugha za Kikreoli]]. Kufuatana na [[historia]] ya [[ukoloni]] kuna pia visiwa ambako [[Kiholanzi]] (hasa [[Antili za Kiholanzi]]) na [[Kifaransa]] ([[Martinique]], [[Guadeloupe]], [[Haiti]]) hutumiwa.
 
Upande wa [[dini]], wakazi wengi ni [[Wakristo]] (84.7%), hasa [[Wakatoliki]].
Orodha inayofuata si kamili.
 
== Visiwa na funguvisiwa katika Karibi ==
Orodha inayofuata si kamili hata kidogo; inataja tu visiwa muhimu zaidi.
 
* [[Anguilla]] ([[Uingereza]])
* [[Antigua na Barbuda]]
* [[Antili za Kiholanzi]] ([[Uholanzi]]) pamoja na [[Bonaire]], [[Saba (kisiwa)|Saba]] na [[KorsouSint Eustatius]]
* [[Aruba]] (Uholanzisehemu ya Ufalme wa Nchi za Chini)
* [[Barbados]]
* [[Cayman Islands|Cayman]] (Uingereza)
* [[Dominica]] (Umoja wa Dominika)
* [[Grenada]]
* [[Guadeloupe]] (mkoa wa ng'ambo wa [[Ufaransa]])
* [[Hispaniola]] (chenye nchi za [[Jamhuri ya DominicaDominika]] na [[Haiti]])
* [[Jamaika]]
* [[Korsou]] (sehemu ya Ufalme wa Nchi za Chini)
* [[Kuba]]
* [[Martinique]] (mkoa wa ng'ambo wa Ufaransa)
Line 38 ⟶ 47:
* [[Saint Lucia]]
* [[Saint Vincent na Grenadini]]
* [[Sint Maarten]] (sehemu ya Ufalme wa Nchi za Chini)
* [[Trinidad na Tobago]]
 
* [[Visiwa vya Cayman]] (Uingereza)
* [[Visiwa vya Virgin vya Marekani]]
Line 47 ⟶ 56:
* Visiwa vya [[Bahamas]]
* [[Visiwa vya Turks na Caicos]] (Uingereza)
{{Amerika Kaskazini}}
 
{{mbegu-jio-Karibi}}
[[Jamii:Amerika ya Kaskazini]]