Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 2000 : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
dNo edit summary
d rekebisha tarehe
Mstari 1:
'''Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 2000''' ulikuwa wa 54 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 87 Novemba. Upande wa "Republican Party", mgombea [[George W. Bush]] (pamoja na kaimu wake [[Dick Cheney]]) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" [[Al Gore]] (pamoja na kaimu wake [[Joseph Lieberman]]).
 
==Matokeo==