Wakfu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Image:Painting of Ste Genevieve in the Church of Ste Genevieve in Ste Genevieve MO.jpg|thumb|250px|[[Mtakatifu Genevieve]] akiwekwa wakfu na [[askofu]]: [[mchoro]] wa [[mwaka]] [[1821]] ([[Ste. Genevieve, Missouri]]).]]
'''Wakfu''' ni ([[nenokar.]] la [[mkopo]] kutoka [[lugha]] ya [[Kiarabu]]<big>وقف</big>‎‎) linalomaanishainamaanisha hali ya kutengwa na matumizi mengine, hasa kwa ajili ya matumizi ya ki[[dini]] tu.
 
[[Watu]], [[kitu|vitu]] na [[mahali]] wanaweza kuwekwa wakfu kwa namna mbalimbali.
 
==Uislamu==
Katika [[Uislamu]] wakfu ni mali iliyotengwa kwa kusudi la kidini. Mifano ya wakfu ni kutoa kiwanja kwa kujenga msikiti, shamba au nyumba ikiwa mapato yake yatagharamia misikiti, madrasa, hospitali, watu maskini au wanafunzi, au pia kutoa pesa kwa makusudi haya. Wakfu
 
==Ukristo==
Katika [[Ukristo]], watu wanaweza kuwekwa wakfu hasa kwa njia ya [[sakramenti]] zisizoweza kurudiwa kwa sababu zinatia [[alama isiyofutika milele]] (yaani [[ubatizo]], na kwa [[madhehebu]] mengine pia [[kipaimara]] na [[daraja takatifu]]), lakini pia kwa kushika [[maisha]] ya pekee katika [[useja mtakatifu]] (kwa kawaida pamoja na [[ufukara]] na [[utiifu]]).