Gobori : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
+picha
No edit summary
Mstari 1:
[[picha:gobori.jpg|thumb|300px|Muundo wa kimsingi wa gobori: 1: risasi 2: baruti 3: shimo la kupashia moto ]]
[[Picha:Bössa med flintsnapplås, variant av hakspännslåset, Frankrike ca 1630 - Livrustkammaren - 19102.tif|300px|thumb|Gobori ]]
[[Picha:Vlgevlpi.JPG|300px|thumb|Gobori kubwa na bastola ya gobiri]]
'''Gobori''' ni [[silaha ya moto]] asilia. Ni aina ya [[bunduki]] ya kimsingi ambako [[risasi]] pamoja na [[baruti]] zinaingizwa pamoja kwenye mdomo wa [[kasiba]] ya [[silaha]] na risasi inafyatuliwa kwa kupasha moto kwenye shimo upande wa nyuma ya kasiba. Moto inawasha baruti na kusababisha mlipuko unaorusha risasi nje ya mdomo wa kasiba. Bunduki za kisasa hutumia [[ramia]] zinazopelekwa katika kasiba kutoka kando au nyuma.