Teknolojia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 123 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q11016 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Astronaut-EVA.jpg|thumb|right|Katika nusu ya pili ya [[karne ya 20]] wanadamu walifaulu kutumia teknolojia mbalimbali kuwafikisha watu kwenye [[anga la nje]].]]
'''Teknolojia''' ni [[elimu]] inayohusu [[uhandisi]], [[ufundi]], [[ujenzi]], vifaa na mbinu za [[uzalishaji]] wa vifaa na huduma katika [[jamii]].▼
Asili ya [[neno]] ni [[Kigiriki]] "τέχνη" (''tamka: tékhne''): „uwezo, usanii, ufundi". ▼
▲'''Teknolojia''' ni elimu inayohusu [[uhandisi]], [[ufundi]], [[ujenzi]], vifaa na mbinu za uzalishaji wa vifaa na huduma katika jamii.
▲Asili ya neno ni [[Kigiriki]] "τέχνη" (''tamka: tékhne''): „uwezo, usanii, ufundi".
Teknolojia inaweza kumaanisha:
* vifaa na [[mashine]] zinazotumika katika matengenezo au uzalishaji wa vitu
* elimu ya matumizi yake pamoja na mbinu na maarifa jinsi ya kutumia [[sayansi]]
* uwezo wa kubadili malighafi asilia na kuwa [[bidhaa]] yenye [[thamani]] inayoweza kukidhi mahitaji ya
==Tazama pia==
{{Sayansi}}
▲* ''Tazama pia:'' [[Historia ya teknolojia]]
[[Jamii:Teknolojia|!]]
|