Tanzanaiti : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Nimeongeza jina la aliye gundua na pia nime andika kwamba ni kito cha Aina gani na ilijulikana wapi.
Mstari 7:
[[Kemia|Kikemia]] ni aina ya [[madini]] ya [[Zoiziti]] ambayo haina [[thamani]] kubwa vile katika [[umbo|maumbo]] mengine. Lakini tanzanaiti bandia inatengenezwa kwa kupasha [[moto]] [[fuwele]] za zoiziti ya kawaida zinazobadilika rangi motoni.
 
Tanzanaiti iligunduliwa mara ya kwanza mwaka [[1967]] katika [[milima]] ya [[Mererani]] kwenye [[Wilaya ya Simanjiro]], karibu na [[Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro]] na [[mji]] wa [[Arusha]]. Ili gunduliwa na mtanzania aitwaye Jumanne Mhero Ngoma mkoani Manyara. Manuel D'souza alituma Sampo hiyo kwa mwanageologia John saul ambaye ana cheo cha PhD kutoka chuo cha M.I.T, ambaye alituma Sampo hiyo kwababa yake, ika pelekwa havard University kwa wataalamu wa madini na kuthibitishwa kwamba ilikuwa ni kito cha Aina ya Zoizite.
 
==Viungo vya nje==