Maana ya maisha : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Replacing Khanda1.svg with File:Khanda.svg (by CommonsDelinker because: Duplicate: Exact or scaled-down duplicate: commons::File:Khanda.svg). |
No edit summary |
||
Mstari 1:
<!--Editor: please summarize point of view in 2-4 well-linked paragraphs.-->
[[File:Woher kommen wir Wer sind wir Wohin gehen wir.jpg|thumb|right|355px|''Tumetoka Wapi? Sisi ni Nani?
'''Maana ya maisha''' ni mojawapo kati ya ma[[suala]] makuu kuhusu [[thamani]], [[madhumuni]] na umuhimu wa [[binadamu]] kuwepo [[duniani]] na wa [[maisha]] kwa jumla. Suala hilo linaweza kujitokeza katika ma[[swali]] mengi tofauti yanayohusiana, kama vile ''Mbona tumekuwepo?'', ''Maisha yanahusu nini?'' na ''Ni nini maana ya haya yote?''▼
▲'''Maana ya maisha''' ni mojawapo kati ya ma[[suala]] kuhusu [[thamani]], [[madhumuni]] na umuhimu wa [[binadamu]] kuwepo [[duniani]] na wa [[maisha]] kwa jumla. Suala hilo linaweza kujitokeza katika ma[[swali]] mengi tofauti yanayohusiana, kama vile ''Mbona tumekuwepo?'', ''Maisha yanahusu nini?'' na ''Ni nini maana ya haya yote?''
Binadamu anajiuliza maswali kama hayo hasa anapokabiliana na [[kifo]], kwa mfano [[msiba]] wa [[ndugu]] au [[rafiki]].
Limekuwa suala kuu la [[udadisi]]
Maana ya maisha imechanganyikana kwa undani na [[dhana]] za
Michango ya sayansi kawaida ni ya moja kwa moja na inaeleza [[uhalisia]] kutokana na mambo yanayopimika kuhusu [[ulimwengu]]; sayansi inatoa [[muktadha]] na mipaka kwa mazungumzo kuhusu [[mada]] zinazohusika.
Mbadala ni mtazamo wa kifalsafa unaokabili swali: "Ni nini maana ya maisha 'yangu'?" Thamani ya swali linalohusu kusudi la maisha huweza kuwiana na kuupata [[ukweli]] wa mwisho, au [[hisia]] za [[umoja]]
==Maswali na marejeo yake==
[[File:Rembrandt Harmensz. van Rijn 038-crop.jpg|thumb|150px|right|''Mwanafalsafa
Maswali kuhusu maana ya maisha yameulizwa kwa njia mbalimbali zenye upana, yakiwemo yafuatayo:
Line 40 ⟶ 39:
==Uchunguzi wa kisayansi==
[[File:DNA Overview.png|thumb|left|140px|[[DNA]] ambayo ina maelekezo ya ki[[jenitikia]] kwa ajili ya [[maendeleo]] na [[utendaji]] wa [[uhai|viumbe hai vyote]].]]
Kwamba [[sayansi]] inaweza kutusaidia kuelewa zaidi
▲Kwamba [[sayansi]] inaweza kutusaidia kuelewa zaidi kuhusu masuala ya msingi (kama vile maana ya maisha) ni suala linalozua mabishano mengi katika jamii za sayansi na [[falsafa ya sayansi]].
Hata hivyo, sayansi inaweza kutupa muktadha fulani na huiweka baadhi ya mipaka ya mazungumzo kuhusu mada kama hizo.
===Umuhimu wa kisaikolojia na thamani katika maisha===
Sayansi huenda ikashindwa kutuambia nini ni cha thamani maishani, lakini baadhi ya [[fani]] zake hugusia maswali yanayohusiana: watafiti katika [[saikolojia chanya]] hutafuta sababu zinazoleta hali ya ndani ya 'kuridhika na maisha
Aina moja ya mfumo wa thamani iliyopendekezwa na [[wataalamu]] wa [[elimunafsia ya jamii]], iitwayo kwa upana "Nadharia ya Kupambana na Mambo ya Kutisha", inasema kwamba maana yote ya binadamu inatokana na [[hofu]] ya msingi ya [[kifo]], ambapo maadili yanachaguliwa yanapotusaidia kuepukana na kumbukumbu ya kifo.
Line 55 ⟶ 53:
===Asili na hali ya maisha ya kibiolojia===
Kufanya kazi kwa [[abayojenesisi]] hakueleweki kwa [[ufasaha]]: nadharia mashuhuri ni pamoja na nadharia ya dunia ya [[RNA]] (vitoaji aina sawa katika makao ya RNA) na nadharia ya dunia ya [[chuma]]-[[sulfuri]] ([[umetaboli]] bila [[jenetikia]]).
Kufanya kazi kwa [[abayojenesisi]] hakueleweki kwa [[ufasaha]]: nadharia mashuhuri ni pamoja na nadharia ya dunia ya [[RNA]] (vitoaji aina sawa katika makao ya RNA) na nadharia ya dunia ya [[chuma]]-[[sulfuri]] ([[umetaboli]] bila Jenetikia). Nadharia ya [[mabadiliko ya viumbe]] haijaribu kuelezea asili ya uhai, bali [[mchakato]] ambao viumbe tofauti vimepitia katika kipindi chote cha [[historia]] kupitia [[mabadiliko ya ghafla ya kijenitikia]] na [[uteuzi wa kiasili]]<ref>[[Charles Darwin]] (1859). ''[[On the Origin of Species]]''.</ref> Wakati wa mwisho wa [[karne ya 20]], kwa kuzingatia ufahamu wa mabadiliko ya viumbe unaotegemea [[jeni]] hasa, [[wanabiolojia]] [[George C. Williams]], [[Richard Dawkins]], [[David Haig]], miongoni mwa wengine, wanahitimisha kwamba ikiwa kuna kazi msingi ya maisha, ni kujinakilisha kwa DNA na kuendelea kuwa hai kwa jeni za mtu.<ref name="Dawkins selfish gene">{{cite book |author=[[Richard Dawkins]] |title=[[The Selfish Gene]] |publisher=Oxford University Press |year=1976 |isbn=019857519X}}</ref><ref name="Dawkins river">{{cite book |author=[[Richard Dawkins]] |title=[[River out of Eden]] |publisher=Basic Books |location=New York |year=1995 |isbn=0-465-06990-8}}</ref>▼
▲
Ingawa wanasayansi wameyachunguza maisha yalivyo duniani, kuyafafanua bayana bado ni changamoto.<ref>[http://www.astrobio.net/news/article226 Astrobiology Magazine: Defining Life]</ref><ref>[http://www.nbi.dk/~emmeche/cePubl/97e.defLife.v3f.html Defining Life, Explaining Emergence<!-- Bot generated title -->]</ref> Kimwili, mtu anaweza kusema maisha "hula [[entirofi]] hasi" <ref>{{cite book | last = Schrödinger | first = Erwin | title = What is Life? | publisher = Cambridge University Press | year = 1944 | isbn = 0-521-42708-8}}</ref><ref>{{cite book | last = Margulis | first = Lynn | coauthors = Sagan, Dorion | title = What is Life? | publisher = University of California Press | year = 1995 | isbn = 0-520-22021-8}}</ref> ambayo walio hai wanapunguza entirofi yao ya ndani kwa [[gharama]] ya aina fulani ya [[nishati]] inayochukuliwa ndani kutoka [[mazingira]].<ref>{{cite book | last = Lovelock | first = James | title = Gaia – a New Look at Life on Earth | publisher = Oxford University Press | year = 2000 | isbn = 0-19-286218-9}}</ref><ref>{{cite book | last = Avery | first = John | title = Information Theory and Evolution | publisher = World Scientific | year = 2003 | isbn = 9812383999}}</ref>▼
▲Ingawa [[wanasayansi]] wameyachunguza maisha yalivyo [[duniani]], kuyafafanua bayana bado ni changamoto.<ref>[http://www.astrobio.net/news/article226 Astrobiology Magazine: Defining Life]</ref><ref>[http://www.nbi.dk/~emmeche/cePubl/97e.defLife.v3f.html Defining Life, Explaining Emergence<!-- Bot generated title -->]</ref> Kimwili, mtu anaweza kusema maisha "hula [[entirofi]] hasi" <ref>{{cite book | last = Schrödinger | first = Erwin | title = What is Life? | publisher = Cambridge University Press | year = 1944 | isbn = 0-521-42708-8}}</ref><ref>{{cite book | last = Margulis | first = Lynn | coauthors = Sagan, Dorion | title = What is Life? | publisher = University of California Press | year = 1995 | isbn = 0-520-22021-8}}</ref> ambayo walio hai wanapunguza entirofi yao ya ndani kwa [[gharama]] ya aina fulani ya [[nishati]] inayochukuliwa ndani kutoka [[mazingira]].<ref>{{cite book | last = Lovelock | first = James | title = Gaia – a New Look at Life on Earth | publisher = Oxford University Press | year = 2000 | isbn = 0-19-286218-9}}</ref><ref>{{cite book | last = Avery | first = John | title = Information Theory and Evolution | publisher = World Scientific | year = 2003 | isbn = 9812383999}}</ref>
Wanabiolojia kwa jumla wanakubaliana kwamba viumbe mbalimbali ni [[mifumo inayojipanga]] inayosimamia mazingira ya ndani ili kudumisha hali hii ya mpango, shughuli za kimetaboliki hutumika kutoa nishati, na [[uzazi]] unaruhusu uhai kuendelea kwa vizazi vingi. Kwa kawaida, ma[[umbile]] huwa sikivu kwa [[uchochezi]] na habari za kijenitikia, hivyo huelekea kubadilika kutoka [[kizazi]] hadi kizazi ili kuruhusu marekebisho kupitia mabadiliko ya kimwili. Sifa hizo huongeza nafasi ya kuishi ya [[kiumbe]] binafsi na wazao wake kwa mtiririko huo.<ref>{{cite web|url=http://www2.una.edu/pdavis/BI%20101/Overview%20Fall%202004.htm |title=How to Define Life |accessdate=2008-10-17 |last=Davison |first=Paul G. |publisher=The University of North Alabama }}</ref><ref>Witzany, G. (2007). The Logos of the Bios 2. Bio-Communication. Helsinki, Umweb.</ref>▼
▲[[Wanabiolojia]] kwa jumla wanakubaliana kwamba viumbe mbalimbali ni
Viwakala visivyokuwa vya seli vinavyozaana, hasa [[virusi]], kwa jumla havitazamwi kama viumbe kwa sababu haviwezi kuzaana kwa "kujitegemea" au kuendesha shughuli za kimetaboliki. [[Pambano]] hilo ni tatizo, ingawa baadhi ya vimelea na visimbayonti vya ndani ya mwili pia vinaweza kuishi maisha ya kujitegemea.▼
▲Viwakala visivyokuwa vya [[seli]] vinavyozaana, hasa [[virusi]], kwa jumla havitazamwi kama viumbe kwa sababu haviwezi kuzaana kwa "kujitegemea" au kuendesha shughuli za kimetaboliki. [[Pambano]] hilo ni tatizo, ingawa baadhi ya [[vimelea]] na visimbayonti vya ndani ya mwili pia vinaweza kuishi
[[Astrobiolojia]] inajihusisha na masomo ya uwezekano wa kuwa na aina tofauti ya viumbe hai katika [[ulimwengu]] mwingine, kama vile miundo ya kujinakilisha kutoka vifaa vingine visivyo DNA.▼
▲[[Astrobiolojia]] inajihusisha na
===Asili na hatima ya ulimwengu===
[[File:CMB Timeline75.jpg|right|268px|thumb|[[Upanuzi wa kimetriki wa nafasi]]. Enzi ya kupanda ni kupanuka kwa kivuto cha kimetriki kilichoko upande wa kushoto.]]
Ingawa dhana ya [[Mlipuko mkuu]]
▲Ingawa dhana ya [[Mlipuko mkuu]] ilipozinduliwa mara ya kwanza ilipambana na [[shaka]] kwa wingi, shaka iliyochangiwa na uhusiano na imani ya dini ya [[uumbaji]], imekuja kuungwa mkono na [[uchunguzi]] kadhaa wa kujitegemea.<ref>{{cite book | author = Helge Kragh | title = Cosmology and Controversy | publisher = Princeton University Press | year = 1996 | isbn=069100546X}}</ref> Hata hivyo, [[fizikia]] ya sasa inaweza kuelezea tu ulimwengu ulivyokuwa mapema sekunde 10 baada ya kutokea. [[Wanafizikia]] wengi wamedadisi nini inaweza kuwa imetangulia, na jinsi ulimwengu ulivyoanza.<ref name="Prantzos & Lyle">{{cite book |author=Nikos Prantzos; Stephen Lyle |title=Our Cosmic Future: Humanity's Fate in the Universe |publisher=Cambridge University Press |year=2000 |isbn=052177098X}}</ref> Baadhi ya wanafizikia hudhani kuwa Mlipuko mkuu ulitokea ki[[ajali]], na kanuni ya kianthropiki inapozingatiwa, mara nyingi hutafsiriwa kuashiria uwepo wa ulimwengu maridhawa.<ref name="Edwards">{{cite book |author=Rem B. Edwards |title=What Caused the Big Bang? |publisher=Rodopi |year=2001 |isbn=9042014075}}</ref>
Hata hivyo, haijalishi jinsi ulimwengu ulivyokuja kuwepo, hatima ya binadamu katika ulimwengu huu ni [[maangamizi]] kwani - hata kama ubinadamu utaishi muda huo wote - maisha ya kibiolojia hatimaye yatashindwa kujiendeleza.<ref name="Prantzos & Lyle" />
Line 78 ⟶ 77:
Mbinu nyingine, kwa vile Mfano wa Rasimu Nyingi, hudai kwamba fahamu inaweza kuelezwa kikamilifu na niurolojia, kupitia utendaji kazi wa [[ubongo]] na [[niuroni]] zake, hivyo kushikilia ubiolojia wa kihalisia.<ref name="Gray" /><ref name="Churchland">{{cite book |author=[[Paul Churchland|Paul M. Churchland]] |title=A Neurocomputational Perspective: The Nature of Mind and the Structure of Science |publisher= MIT Press |year=1989 |isbn=0262531062}}</ref><ref name="Dennett">{{cite book |author=[[Daniel Dennett|Daniel Clement Dennett]] |title=[[Consciousness Explained]] |publisher=Little, Brown and Co. |year=1991 |isbn=0316180661}}</ref>
Kwa upande mwingine, wanasayansi kama [[Andrei Linde]] wanadhani kwamba fahamu, kama nafasi-wakati, huenda ikiwa na ngazi zake za ndani za uhuru, na kwamba maoni ya mtu binafsi yanaweza kuwa halisi kama (au hata kuliko) vifaa tunavyoweza kuvigusa na kuviona.<ref name="Barrow, Davies, Harper">{{cite book |author=[[John D. Barrow]]; [[Paul Davies|Paul C. W. Davies]]; Charles L. Harper |title=Science and Ultimate Reality: Quantum Theory, Cosmology and Complexity |publisher=Cambridge University Press |year=2004 |isbn=052183113X}}</ref><ref name="Barrow, Davies, Harper" /> mara nyingi zikijumuisha idadi kubwa ya mitazamo ya ziada.<ref name="Millay, Heinze">{{cite book |author=Jean Millay; Ruth-Inge Heinze |title=Multidimensional Mind: Remote Viewing in Hyperspace |publisher=North Atlantic Books |year=1999 |isbn=1556433069}}</ref>
Nadharia za [[sumakuumeme]] za fahamu zinatatua tatizo lenye vipengele vingi la fahamu kwa kusema eneo la sumakuumeme linalotokana na [[ubongo]] ndilo hasa linalobeba [[fahamu zoefu]]. Hata hivyo kuna kutokubaliana kuhusu kutekelezwa kwa nadharia kama hiyo inayohusu utendaji kazi kwingine kwa akili.<ref>J. McFadden (2002) "[http://www.mindcontrolforums.com/news/electromagnetic-field-theory-of-consciousness.htm Synchronous Firing and Its Influence on the Brain's Electromagnetic Field: Evidence for an Electromagnetic Field Theory of Consciousness]". ''Journal of Consciousness Studies'' '''9''' (4) pp. 23-50.</ref><ref name="Buccheri & Di Gesù & Saniga">{{cite book |author=R. Buccheri; V. Di Gesù; Metod Saniga |title=Studies on the Structure of Time: From Physics to Psycho(patho)logy |publisher=Springer |year=2000 |isbn=030646439X}}</ref>
Line 86 ⟶ 83:
Nadharia za akili za ki[[kwontamu]] hutumia [[nadharia ya kwontamu]] kuelezea baadhi ya sifa za akili. <ref name="Bohm & Hiley">{{cite book |author=[[David Bohm]]; Basil J. Hiley |title=The Undivided Universe: An Ontological Interpretation of Quantum Theory |publisher=Routledge |year=1993 |isbn=0415065887}}</ref><ref name="Bruce">{{cite book |author=Alexandra Bruce |title=Beyond the Bleep: The Definitive Unauthorized Guide to What the Bleep Do We Know!? |publisher=The Disinformation Company |year=2005 |isbn=1932857222}}</ref><ref name="Bohm & Hiley" /><ref name="Libet, Freeman, Sutherland">{{cite book |author=Benjamin Libet; Anthony Freeman; Keith Sutherland |title=The Volitional Brain: Towards a Neuroscience of Free Will |publisher=Imprint Academic |year=1999 |isbn=0907845118}}</ref>
Ikitegemea hoja ya maelezo ya akili yasiyoweza kugusika, baadhi ya watu wamependekeza uwepo wa [[fahamu ya kikozmiki]], wakidai kwamba fahamu kwa kweli ndiyo "msingi wa yote kuwepo".<ref name="Walker"/><ref name="Bruce" /><ref name="Ho">{{cite book |author=[[Mae-Wan Ho]] |title=The Rainbow and the Worm: The Physics of Organisms |publisher=World Scientific |year=1998 |pages=218–231 |isbn=9810234279}}</ref> Wanaounga mkono mtazamo huo wanaelezea matukio yasiyo vya kawaida, hasa uwezo wa kuhisi usio wa kawaida na uwezo wa kuyasoma mawazo, kama [[ushahidi]] wa uwepo wa fahamu ya juu isiyoeleweka. Katika ma[[tumaini]] ya kuthibitisha uwepo wa mambo hayo
Wanaochunguza mambo haya upya, wanabaki na [[wasiwasi]] kwamba matokeo yanayoonekana kuwa na mafanikio huenda yakawa yanatokana na [[utaratibu]] mbaya, na watafiti wasiokuwa na mafunzo ya kutosha, au mbinu hafifu.<ref name=Akers>{{cite paper |author=Akers, C. |title=Methodological Criticisms of Parapsychology, Advances in Parapsychological Research 4 |publisher=PesquisaPSI |year=1986 |url=http://www.pesquisapsi.com/books/advances4/7_Methodological_Criticisms.html
|accessdate=2007-07-30}}</ref><ref>{{cite paper |author=Child, I.L.
Line 93 ⟶ 89:
==Mitazamo ya kifalsafa==
Mitazamo ya kifalsafa kuhusu maana ya maisha ni itikadi ambazo huelezea
===Falsafa za Kale za Kigiriki===
[[File:Sanzio 01 Plato Aristotle.jpg|thumb|160px|right|Plato na Aristotle katika ''[[Shule ya Athene]]'', [[mchoro wa ukutani]] wa [[msanii]] [[Raffaello]].]]
====Uplato====
[[Plato]] alikuwa mmoja wa [[wanafalsafa]] wa mwanzo, na mwenye ushawishi mwingi hadi leo
====Uaristoteli====
[[Aristotle]], [[mwanafunzi]] wa [[Plato]], alikuwa mwanafalsafa mwingine wa mapema, mwenye ushawishi mkubwa, ambaye alisema kuwa maarifa ya maadili si ya ''hakika'' kama [[metafizikia]] na [[somo la maarifa]], lakini ni ''maarifa ya kiujumla''. Kwa sababu si [[fani]] ya kinadharia, inambidi mtu asome na afanye mazoezi ili awe 'mzuri', kwa hiyo mtu angekuwa [[
Hata hivyo, ikiwa kitendo A kinafanyika ili kufikia lengo B, kisha lengo B pia litakuwa na lengo (lengo C), na lengo C pia litakuwa na lengo, hivyo muundo huo utaendelea mpaka kitu kiusimamishe. [[Suluhisho]] la Aristotle ni ''[[Wema mkuu]]'', ambao ni wa kuwaniwa kwa ajili yake pekee, ni lengo lake lenyewe. Wema mkuu hauwaniwi kwa ajili ya kufikia mema mengine, na mema yote yanawaniwa kwa ajili yake. Hili linahusisha kufikia [[eudemonia]], ambayo kwa kawaida hutafsiriwa kama "furaha", "ustawi", "kutokosa chochote muhimu", na "ubora".
Line 116 ⟶ 112:
====Uepikuro====
[[File:Epicurus Louvre.jpg|left|thumb|132px|Mchongo wa [[Epikuro]] akimuegemea [[mwanafunzi]] wake Metrodorus katika [[makavazi]] ya [[Louvre]].]]
Kwa [[Epikuro]], jambo zuri kuliko yote ni kutafuta raha za wastani, kupata utulivu na kuwa uhuru kutoka hofu (“ataraxia”) kupitia maarifa, urafiki na wema, kuishi kwa kujichunga; maumivu ya kimwili (“aponia”) hayapo kupitia maarifa ya mtu kuhusu hali ya dunia na mipaka ya matamanio ya mtu. Vikiwa pamoja, uhuru kutoka maumivu na uhuru kutoka hofu ndiyo furaha kuu. Kukusifu kwake kufurahia [[anasa]] ambazo hazijapita kiasi kunakaribia dhana ya "kujiepusha" na raha zote kama vile [[ngono]] na anasa:
Line 199 ⟶ 194:
====Utu wa Kidunia====
[[File:HumanismSymbol.PNG|120px|left|thumb| Picha ya "binadamu mwenye furaha" ishara ya Utu wa Kidunia.]]
Kulingana na [[Utu wa Kidunia]], wanadamu walitokana na kuzaana katika maendeleo ya mabadiliko ambayo hayakuongozwa kama sehemu muhimu ya maumbile, ambayo huishi yenyewe.<ref name=humanifesto1>{{cite web |title=[[Humanist Manifesto I]]] [http://www.americanhumanist.org/about/manifesto1.html url=http://www.americanhumanist.org/about/manifesto1.html |work=American Humanist Association |year=1933 |accessdate=2007-07-26}}</ref><ref name=humanifesto2>{{cite web |title=[[Humanist Manifesto II]]] [http://www.americanhumanist.org/about/manifesto2.html work=American Humanist Association |year=1973 |url=http://www.americanhumanist.org/about/manifesto2.html |accessdate=2007-08-01}}</ref> Maarifa hayatoki katika vyanzo vyenye nguvu visivyo vya kawaida, lakini kutoka uchunguzi wa binadamu, majaribio, na uchambuzi wa kimantiki ([[mbinu ya kisayansi]]): asili ya [[ulimwengu]] ni kile ambacho watu huitambua kuwa hivyo.<ref name=humanifesto1 /> Aidha, [[maadili]] na ukweli vinalengwa kwa njia ya uchunguzi wa kiakili<ref name=humanifesto1 /> na yanatokana na mahitaji ya binadamu na hamu kama ilivyopimwa na uzoefu, yaani kupitia akili yenye uchambuzi.<ref name=humanifesto3>{{cite web |title=[[Humanist Manifesto III]]] [http://www.americanhumanist.org/3/HumandItsAspirations.php work=American Humanist Association |year=2003 |url=http://www.americanhumanist.org/3/HumandItsAspirations.php |accessdate=2007-08-01}}</ref><ref name=CDSH>{{cite web |title=[[A Secular Humanist Declaration]]] [http://www.secularhumanism.org/index.php?section=main&page=declaration work=Council for Democratic and Secular Humanism (now the Council for Secular Humanism) |year=1980 |url=http://www.secularhumanism.org/index.php?section=main&page=declaration |accessdate=2007-08-01}}</ref> "Kulingana na yale tunayojua, tabia za mtu kiujumla ni [chanzo] cha kiumbe cha kibiolojia kinachoendesha shughuli zake katika muktadha wa kijamii na wa kiutamaduni."<ref name=humanifesto2 />
Line 238 ⟶ 232:
==Mitazamo ya kidini==
Mitazamo ya kidini kuhusu maana ya maisha ni
<!--Note: the following two commented sections were commented out when I re-classified the sections. It is preserved here in case someone can make use of it later-->
<!--The rise of [[universal religion]]s marks a shift from concerns about personal potential and relationships to the natural world, to a focus on more profound forms of devotion and all-inclusive salvation. In the Christian, Muslim, and Sikh faiths, this manifested as subjection to God: salvation was not a personal achievement, but rather a token of God's grace to be earned by the devout. Eastern traditions like Buddhism and Hinduism, likewise, moved from their primary focus on individual liberation to more abstract ideals of liberation for all. In all, this era magnified and generalized ideals of love, compassion, and relief of human suffering that had little or no place in earlier philosophy.-->
Line 295 ⟶ 289:
====Falsafa za Kihindu====
[[File:Golden Aum.png|left|thumb|110px|[[Aum]] ya [[dhahabu]] iliyoandikwa katika [[Devanagari]]. Aum ni takatifu katika [[dini]] za [[Uhindu]], [[Ujaini]] na [[Ubuddha]].]]
[[Uhindu]] ni jamii ya kidini inayojumuisha itikadi na desturi nyingi. Kwa sababu Uhindu ulikuwa njia ya kuonyesha maisha yenye maana tangu jadi, wakati ambapo hapakuwa na haja ya kutaja Uhindi kama dini tofauti, mafundisho ya Uhindu ni nyongeza na yanayowiana kiasili, kiujumla yasiyo ya kipekee, yenye kudokeza tu na yenye maudhui ya kuvumiliana.<ref name=weightman>{{Harvard reference | author= Simon Weightman | year=1998 | title=The new Penguin handbook of living religions |editor = Hinnells, John (Ed.) | publisher= [[Penguin books]] |chapter= Hinduism | isbn=0-140-51480-5}}</ref>
Line 306 ⟶ 299:
Katika Advaita Vedanta ya kimoni, atman hatimaye haitofautishwi na brahman, na lengo la maisha ni kujua au kutambua kwamba (nafsi) ya mtu ya atman inafanana na Brahman.<ref>{{Harvard reference | last= Vivekananda | first=Swami | authorlink=Swami Vivekananda | year=1987 | title=Complete Works of Swami Vivekananda | place=Calcutta | publisher= Advaita Ashrama | isbn=81-85301-75-1}}</ref>
Kwa Maupanishadi, yeyote anayefahamu kikamilifu atman, kama msingi wa ubinafsi, anajitambua na Brahman, na hivyo, anapata Mokasha (ukombozi, uhuru).<ref name="monierwilliams"/><ref name="werner">{{Harvard reference | last= Werner | first=Karel | year=1994 | title=A Popular Dictionary of Hinduism | place=Richmond, Surrey | editor = Hinnells, John (Ed.) | publisher= Curzon Press | chapter= Hinduism | isbn=0-7007-0279-2}}</ref><ref>See also the Vedic statement "ayam ātmā brahma" (This [[Ātman (Hinduism)|Atman]] is [[Brahman]])</ref>
Line 319 ⟶ 312:
====Ujaini====
[[Ujaini]] ni dini iliyoanza katika Uhindi ya kale, mfumo wake wa kimaadili unakuza nidhamu ya kibinafsi kushinda yote mengine. Kupitia kuyafuata mafundisho ya kujiepusha na anasa zote, ya ujaini, binadamu anapata kutaalamika (maarifa kamili). Ujaini unaugawanya ulimwengu katika viumbe vilivyohai na visivyohai. Wakati tu visivyohai vinavyoshikilia vyenye uhai ndipo mateso hutokea. Kwa hivyo, furaha ni matokeo ya utekaji-kibinafsi na uhuru kutoka kwa vitu vya nje. Maana ya maisha basi huweza kusemwa kuwa kutumia mwili unaoonekana kupata utambuzi wa kibinafsi na neema..<ref>Shah, Natubhai. ''Jainism: The World of Conquerors.'' Sussex Academic Press, 1998.</ref>▼
▲Ujaini ni dini iliyoanza katika Uhindi ya kale, mfumo wake wa kimaadili unakuza nidhamu ya kibinafsi kushinda yote mengine. Kupitia kuyafuata mafundisho ya kujiepusha na anasa zote, ya ujaini, binadamu anapata kutaalamika (maarifa kamili). Ujaini unaugawanya ulimwengu katika viumbe vilivyohai na visivyohai. Wakati tu visivyohai vinavyoshikilia vyenye uhai ndipo mateso hutokea. Kwa hivyo, furaha ni matokeo ya utekaji-kibinafsi na uhuru kutoka kwa vitu vya nje. Maana ya maisha basi huweza kusemwa kuwa kutumia mwili unaoonekana kupata utambuzi wa kibinafsi na neema..<ref>Shah, Natubhai. ''Jainism: The World of Conquerors.'' Sussex Academic Press, 1998.</ref>
Wajaini huamini kwamba kila binadamu anawajibika kwa matendo yake na viumbe wote hai wana roho ya milele, jīva. Wajaini wanaamini nafsi zote ni sawa kwa sababu zote zinamiliki uwezekano wa kufanywa ziwe huru na kufikia Moksha. Mtazamo wa Kijanini wa karma ni kwamba kila hatua, kila neno, kila wazo linazalisha, mbali na yanayoonekana, matokeo yasiyoonekana, na yanayopita fikira kwa nafsi.
Line 349 ⟶ 341:
Sifa muhimu na tofauti ya Kalasinga ni dhana ya Mungu isiyo ya kumtazama Mungu akiwa na umbo fulani, kiasi kwamba mtu anaweza kumtafsiri Mungu kama Ulimwengu wenyewe (upanthei). Kalasinga kwa hivyo inayaona maisha kama fursa ya kumuelewa huyu Mungu na pia kuugundua uungu ambao upo katika kila mmoja. Ingawa ufahamu kamili wa Mungu unazidi ubinadamu,<ref name="p252">{{cite book | last=Parrinder | first=Geoffrey | authorlink=Geoffrey Parrinder | year=1971 | title=World Religions: From Ancient History to the Present | publisher=Hamlyn Publishing Group Limited | location=United States | isbn = 0-87196-129-6}}</ref> Guru Nanak alielezea Mungu kama asiye eleweka kikamilifu, na kusisitiza kwamba Mungu lazima aonekana kutoka kwa "jicho la ndani", au "moyo", wa binadamu: wanaoamini lazima watafakari ili kuelekea kutaalamika. Nanak alihimiza ufunuo kupitia kutafakari, kwani kutumika kwake kila wakati kunaruhusu kuwepo kwa mawasiliano kati ya Mungu na binadamu.<ref name="p252"/>
====Ushinto====
[[File:Shinto_torii_vermillion.svg|thumb|right|100px|Shinto torii, mlango wa kitamaduni wa Kijapani]]
[[Ushinto]] ni dini iliyoanzia [[Ujapani]]. Neno Shinto linamaananisha "njia ya kami", lakini kwa ufasaha zaidi, linaweza kumaanisha "sehemu yenye njia nyingi ambapo kami anachagua njia yake". Njia yenye sehemu nyingi ya 'kimungu' inaashiria kwamba ulimwengu wote ni roho ya kimungu. Msingi wa nia huru kuichagua njia ya mmoja, inamaanisha kwamba maisha ni mchakato wa ubunifu.▼
▲Ushinto ni dini iliyoanzia [[Ujapani]]. Neno Shinto linamaananisha "njia ya kami", lakini kwa ufasaha zaidi, linaweza kumaanisha "sehemu yenye njia nyingi ambapo kami anachagua njia yake". Njia yenye sehemu nyingi ya 'kimungu' inaashiria kwamba ulimwengu wote ni roho ya kimungu. Msingi wa nia huru kuichagua njia ya mmoja, inamaanisha kwamba maisha ni mchakato wa ubunifu.
Ushinto Unayataka maisha ya kuishi, siyo ya kufa. [[Ushinto]] unakitazama kifo kama uchafuzi na inatazama maisha kama eneo ambapo roho ya kimungu inanuia kujitakasa yenyewe kwa kujiendeleza inavyostahili. Ushinto unayataka maisha ya kibinafsi ya kibinadamu kuendelezwa milele duniani kama ushindi wa roho ya kimungu katika kuhifadhi tabia yake ya usawa kwa hali ya juu kabisa. Kuwepo kwa uovu duniani, kama inavyodokezwa na Ushinto, hakupingi hali ya kimungu kwa kuweka juu ya uungu jukumu la kuweza kuyapunguza mateso ya binadamu huku ikikataa kufanya hivyo. Mateso ya maisha ni mateso ya roho ya kimungu katika kuyatafuta mafanikio katika ulimwengu unaolenga usawa.<ref name="Mason">{{cite book |author=J. W. T. Mason |title=The Meaning of Shinto |publisher= Trafford Publishing |year=2002 |isbn=1412245516}}</ref>
Line 359 ⟶ 350:
====Utao====
[[File:Yin yang.svg|right|thumb|100px|''Taijitu'' ni ishara ya umoja wa vinyume vya yin na yang.]]
Kosmojenia ya Watao inasisitiza haja ya viumbe wote wenye fahamu na watu wote kurudi kwa mwanzo au kuungana na Umoja wa Ulimwengu kupitia njia ya kujikuza na kujitambua. Wahumini wote wanapaswa kuelewa na kuwiana na mwisho wa kikweli.
Wanaamini yote awali yalikuwa kutoka Taiji na Tao, na maana maishani kwa wahumini ni wao kugundua hali ya muda mfupi ya kuwepo. "Kujiangalia tu kindani ndio kunaoweza basi kutusaidia kupata sababu zetu za undani kabisa za kuishi...jibu rahisi limo humu ndani yetu."<ref name="Ming-Dao">{{cite book |author=Ming-Dao Deng |title=Scholar Warrior: An Introduction to the Tao in Everyday Life |publisher=HarperCollins |year=1990}}</ref>
====
[[
====Dini mpya====
Kuna harakati nyingi mpya za kidini katika Asia ya Mashariki, baadhi yao zikiwa na mamilioni ya wafuasi: Chondogyo, Tenrikyo, Cao Đài, na Seicho-No-ie. Dini mpya kawaida zina maelezo ya kipekee kuhusu maana ya maisha. Kwa mfano, katika Tenrikyo, mtu anatarajiwa kuishi Maisha ya Furaha kwa kushiriki katika mazoea yanayokuza furaha yake binafsi na pia ya watu wengine.
==Katika
Siri ya maisha na maana yake ni jambo linalorudiwa mara nyingi katika utamaduni maarufu, unaoonyeshwa katika burudani ya [[vyombo vya habari]] na aina mbalimbali za [[sanaa]].
[[File:Allisvanity.jpg|thumb|120px|''Yote ni bure'', picha ya [[Charles Allan Gilbert]], ni mfano wa ''vanitas''. Inaonyesha mwanamke akitazama uso wake katika kioo, lakini vyote vimepangwa ili kuifanya picha ya kifuvu kuonekana.]]
Line 386 ⟶ 376:
==Tazama pia==
* [[
* [[Maisha]]
* [[Ubora wa maisha]]
* [[
* [[
==Tanbihi==
|