Maisha : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
MAISHA |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Maisha''' ni [[muda]] ambao [[kiumbe hai]] anajaliwa kuishi. Ni hali tofauti kabisa na [[uzima]] wa [[milele]].
[[Maana ya maisha]] ni mojawapo kati ya masuala makuu ya [[binadamu]] [[duniani]]: hawezi kukwepa maswali ya kutoka [[Moyo|moyoni]] mwake kuhusu thamani, madhumuni na umuhimu wa maisha yake.
Limekuwa suala kuula udadisi kwa sayansi na technolojia tangu zamani. kumekuwa na idadi kubwa ya majibu kwa maswali hayo kutoka asili mbalimbali katika itikadi na kiutamaduni.▼
Suala hilo linaweza kujitokeza kwake katika maswali mengi tofauti yanayohusiana, kama vile: "mbona tumekuwepo?"; "maisha yanahusu nini?" na "nini maana ya hayo yote? Binadamu anajiuliza maswali kama hayo hasa anapokabiliana na [[kifo]], kwa mfano msiba wa [[ndugu]] au [[rafiki]].
▲
{{mbegu}}
[[Jamii:Falsafa]]
[[Jamii:Dini]]
|