Wakisi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
'''Wakisi''' ni [[kabila]] la [[Tanzania]] wanaoishi katika [[Mkoa wa IringaNjombe]], [[Wilaya ya Ludewa]]. [[Lugha]] yao ni [[Kikisi]].
 
[[Lugha]] yao ni [[Kikisi]].
Jamii hii hujishughulisha na shughuli mbali mbali zikiwemo za [[uvuv]]i, [[ufinyanzi]], [[kilimo]] cha [[muhogo]] pia ni wachezaji wazuri wa [[ngoma]] ya [[Mganda]], [[Kihoda]] na [[Ligambusi]]lakini wakisi pia asili yao ni wangoni kwakua wanautamaduni mmoja na wangoni lakini walienenea maeneo hayo mbalimbali kutikana na misafara ya wangoni kutoka afrika kusini wengine wakatawanyika na kujikuta wako huko.
 
Jamii hii hujishughulisha na shughuli mbalimbali zikiwemo za [[uvuvi]], [[ufinyanzi]], [[kilimo]] cha [[muhogo]].
 
Pia ni wachezaji wazuri wa [[ngoma]] ya [[Mganda]], [[Kihoda]] na [[Ligambusi]].
 
Kwa asili ni Wangoni kwa kuwa wana [[utamaduni]] mmoja na Wangoni, lakini walienenea maeneo hayo mbalimbali kutokana na misafara ya wangoni kutoka [[Afrika Kusini]]: wengine wakatawanyika na kujikuta wako huko.
{{mbegu-utamaduni-TZ}}
{{DEFAULTSORT:Kisi}}
 
[[Jamii:Makabila ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Njombe]]