Cecil Rhodes : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 60 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q19825 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 10:
Athira yake ya kisiasa ikapanuka 1885 akashawishi serikali ya London kuvamia eneo la Bechuanaland (Botswana) na kuifanya nchi lindwa chini ya Uingereza.
1885 alifaulu kupata kibali cha
1890 Rhodes akawa waziri mkuu wa [[koloni ya Rasi]]. Kama kiongozi wa serikali alitaka kumeza jamhuri ya makaburu ya [[Transvaal]] na akajaribu kumpindua raisi Ohm Krueger 1895. Shambulio ya Jameson Raid ilishindikana na Rhodes alipaswa kujiuzulu katika serikali.
|