Mji mkuu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Tengua pitio 989588 lililoandikwa na 169.255.184.136 (Majadiliano) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Mji mkuu''' kwa kawaida ni [[mji]] wenye [[makao makuu]] ya [[serikali]] ya nchi fulani. Katika nchi nyingi mji huo
Kuna nchi ambako mji mmoja umeteuliwa kuwa mji mkuu katika [[katiba]] au kwa [[sheria]] fulani.
Nchi kadhaa zimeteua mji fulani kuwa mji mkuu kwa shabaha ya kubadilisha mwendo wa nchi au kama jaribio la kusahihisha [[historia]]
== [[Ukoloni|Koloni]] za zamani kuanzisha mji mkuu mpya ==
|