Mlima : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 20:
Milima huwa na historia inayoweza kutazamiwa kama maisha ya mlima. Milima hutokea kutokana na miendo ndani ya [[ganda la dunia]].
[[Mabamba ya gandunia]] husukumana na kusababisha
[[Milima kunjamano]] kama [[Himalaya]] katika [[Asia]], [[Alpi]] za [[Ulaya]] au [[milima ya Atlas|Atlas]] ya [[Afrika ya Kaskazini]] ilitokea pale ambako mabamba mawili ya gandunia kukutana na kugongana.
|