Mlima : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 1:
[[Picha:Kilimanjaro 2006-08-13.JPG|thumb|300px|[[Mlima Kilimanjaro]] unavyoonekana kutoka [[Moshi (mji)|Moshi]]]]
[[Picha:Denali Mt McKinley.jpg|thumb|300px||[[Mlima Denali]] jimboni [[Alaska]] ([[USA]]).]]
'''Mlima''' ni sehemu ya uso wa [[dunia]] iliyoinuka sana juu ya [[mazingira]] yake. Mifano katika [[Afrika]] ni [[Mlima Kilimanjaro]]
▲'''Mlima''' ni sehemu ya uso wa dunia iliyoinuka sana juu ya mazingira yake. Mifano katika [[Afrika]] ni [[Mlima Kilimanjaro]] au [[Mlima Kenya]].
== Kilele na vilele ==
Kwa kawaida mlima huwa na [[kilele]] kimoja au zaidi; kwa mfano Kilimanjaro huwa na vilele vitatu vya [[Kibo]], [[Mawenzi]] na [[Shira]]. Kama mlima ni
== Milima mikubwa, milima midogo ==
Kama mlima
[[Lugha]] nyingi zinatofautisha kati ya milima mikubwa na midogo au vilima, kwa mfano [[Kiingereza]] kwa maneno kama "mountain" na "hill". Lakini hata hapa hutegemea mazingira kama sehemu fulani huitwa hill au mountain. [[Uingereza]] huwa na [[sheria]] inayoita kila sehemu juu ya mita 600 "mlima".
[[Urefu]] wa mlima hutajwa kitaalamu kwa "mita juu ya [[uwiano wa bahari]]". Hata hivyo mlima unaweza kuonekana mdogo kiasi kama mazingira yake ni
== Milima na maisha ==
Milima huwa muhimu kwa [[ekolojia]] ya [[uhai]] na [[maisha]] ya
==
Milima huwa na [[historia]] inayoweza
[[Mabamba ya gandunia]] husukumana na kusababisha
[[Milima kunjamano]] kama [[Himalaya]] katika [[Asia]], [[Alpi]]
Miendo ya [[gandunia]] husababisha pia kutokea kwa milima [[Bahari|baharini]] inayoweza
Njia nyingine ya kutokea kwa milima ni [[volkeno]].
Baada ya kutokea milima inaendelea kupungua polepole kutokana na miamba kuvunjika na kusagwa kwa njia ya [[mmomonyoko]]
▲Baada ya kutokea milima inaendelea kupungua polepole kutokana na miamba kuvunjika na kusagwa kwa njia ya [[mmomonyoko]] . Athari zinazosababisha mmomonyoko ni hasa tofauti za halijoto pamoja na maji, upepo na barafu. Wakati wa joto mwamba hupanuka kiasi, wakati wa baridi hujikaza na kwa njia hii hutokea ufa ndani yake. Hapa maji yanaweza kuingia na kuganda kuwa [[barafu]] wakati wa baridi yakizidi kupanusha ufa na kuvunja mwamba polepole.
=== Milima mirefu duniani ===
Mlima mrefu unaojulikana kabisa uko nje ya [[dunia]] kwenye [[sayari]] [[Mirihi]]: unaitwa Olympus Mons na kuwa na urefu wa [[kilomita]] 27.
Mlima mrefu juu ya uso wa dunia huitwa [[Mount Everest]] (mita 8,
Lakini mlima mrefu kabisa ni [[Mauna Kea]] katika [[
Milima mirefu ya bara ni kama zifuatazo:
* [[Afrika]]: [[Mlima Kilimanjaro]] (mita 5,
* [[Amerika ya Kaskazini]]
* [[Amerika ya Kusini]]
* [[Australia na Pasifiki]]: [[Puncak Jaya]] (mita 5,
* [[Ulaya]]
* [[Bara la Antaktiki]]
==Picha==
<gallery>
Image:Satellitenaufnahme der Alpen.jpg|Safu ya [[Alpi]] katika Ulaya, picha ya [[chombo cha angani]]
Image:Westpeak.jpg|Milima ya Olympic Mountains, jimbo la [[Washington]] ([[Marekani]])
</gallery>
Line 57 ⟶ 55:
==Viungo vya nje==
{{commonscat|Mountains|Milima}}
[[Jamii:Milima| ]]
|