Andes : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
+kiungo
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Nasa anden.jpg|thumb|Safu za milima ya Andes zinavyoonekana kutoka angani]]
'''Andes''' ni safu ya [[milima kunjamano]] na safu ndefu kabisa ya [[milima]] [[duniani]]. InavukaInaendana na [[urefu]] wote wa [[Amerika Kusini]] kutokaupande wa [[Kolombiamagharibi]] katika kaskazini hadiwa [[Chilebara]] katikahili, kusiniikiongozana upandena mstari wa magharibi[[pwani]] waya bara[[Pasifiki]] hilikutoka ikiongozana[[Kolombia]] nakatika mstari[[kaskazini]] wahadi pwani[[Chile]] lakatika [[Pasifikikusini]]. Urefu wa safu yote ni takriban [[km]] 7,500 km. Milima ya juu inafikia [[kimo]] cha m 6,962 m na [[wastani]] yawa milima yote ikouko kwa 4000kwenye m 4000. [[Upana]] wa milima hii ni kati ya 200 km 200 na 600 km.
 
== Safu za milima na nyanda za juu ==
Ndani ya Andes kuna hasa safu [[mbili]] zinazokwenda sambamba kandokando lakini kuna pia sehemu ambako safu zimeongezeka kuwa zaidi ya mbili. Hizi safu kuiu ni "[[Cordillera Oriental]]" (kwa [[Kihispania]] maana yake ni safu ya mashariki) na "[[Cordillera Occidental]]" (safu ya [[magharibi]]); kati ya safu za pembeni kuna ile ya [[Cordillera de la Costa]] (safu ya pwani) nchini Chile. Katika sehemu ya katikati safu hizi zinazunguka [[nyanda za juu]] za [[Altiplano]] za [[Peru]] na [[Bolivia]].
 
== Nchi za Andes ==
Nchi [[saba]] za Amerika kusini zina sehemu za maeneo yao katika Andes: [[Kolombia]], [[Ekuador]] na [[Venezuela]] katika kaskazini; [[Peru]] na [[Bolivia]] katikati, halafu [[Argentina]] na [[Chile]] katika kusini.
[[Picha:Licancabur.jpg|thumb|right|200px|[[Licancabur]], Bolivia/Chile]]
[[Picha:Llullaillaco.jpg|thumb|right|200px|[[Llullaillaco]], Chile/Argentina]]
 
[[Picha:Chimborazo from southwest.jpg|thumb|right|200px|[[Chimborazo (volcano)|Chimborazo]], Ecuador]]
[[Picha:Cono de Arita, Salta. (Argentina).jpg|thumb|right|200px|Cono de Arita, Salta ([[Argentina]])]]
Line 17 ⟶ 16:
 
Mlima mrefu kabisa ni [[Aconcagua]] katika Argentina kwenye mpaka wa Chile ambao ni mlima mrefu wa Amerika yote.
* [[Cerro Mercedario]], m 6.770 m (Argentina)
* [[Nevado Huascarán]], m 6.768 m (Peru)
* [[Cerro Bonete]], m 6.759 m (Argentina)
* [[Tres Cruces]], m 6.758 m (Argentina)
* [[Volcán Llullaillaco]], m 6.739 m (Argentina)
 
 
=== Volkeno ===
Andes zina [[volkeno]] nyingi kwa sababu ziko sehemu ya "mviringo wa moto" unaozunguka Pasifiki yote. [[Bamba la Nazca]] linajisukuma chini ya [[bamba]] la Amerika Kusini na kusababisha kukunjwa juu kwa safu za Andes. [[Magma]] hupanda juu kwenye mstari wa kuzama kwa bamba la Nazca hulisha volkeno. Andes ni mahali pa volkeno za kimo kikubwa duniani.
 
* [[Monte Pissis]], m 6,882 m ([[Argentina]])
* [[Ojos del Salado]], m 6,864 m (Argentina - [[Chile]])
* [[Llullaillaco]], m 6.723 m (Argentina/Chile)
* [[Nevado Coropuna]], m 6.426 m (Peru)
* [[Chimborazo]], m 6.310 m (Ekuador)
* [[Sierra Nevada de Lagunas Bravas]] m 6.127 m (Chile/Argentina)
* [[Uturunco]], m 6.010 m (Bolivia)
* [[Licancabur]], m 5.916 m (Bolivia/Chile)
* [[Cotopaxi]], m 5.897 m (Ekuador)
* [[Misti]], m 5.822 m (Peru)
* [[Ubinas]], m 5.675 m (Peru)
* [[Tungurahua]], m 5.010 m (Ekuador)
* [[Pichincha]], m 4.784 m (Ekuador)
* [[Lanín]], m 3.747m747 (Argentina)
* [[Osorno (Vulkan)|Osorno]], m 2.652 m (Chile)
 
* Volkeno nyingi ndogo katika [[Bonde la Volkeno]] - (Peru)
 
{{mbegu-jio-AmerikaKusini}}
<!-- interwiki -->
 
[[Jamii:Milima ya Argentina]]
[[Jamii:Milima ya Bolivia]]
[[Jamii:Milima ya Chile]]
[[Jamii:Milima ya Ekwador]]
[[Jamii:Milima ya Kolombia]]
[[Jamii:Milima ya Peru]]
[[Jamii:Milima ya Venezuela]]
[[Jamii:Milima ya Amerika Kusini]]
[[Jamii:Amerika Kusini]]