31
edits
No edit summary |
No edit summary |
||
[[Lugha]] yao ni [[Kiluguru]].
Upande wa [[dini]], kwa kawaida wale wa wanaoishi mabondeni ni [[Waislamu]] na wale wa milimani ni [[Wakristo]], hasa wa [[Kanisa Katoliki]].siku hizi angalau hata mabondeni pia kuna wakkristo wengi na miliamani pia kuna mchanganyiko.
Kuna makundi makubwa mawili ya Waluguru. Makundi hayo ni Waluguru wanaoishi [[Milima|milimani]] na wale wanaoishi [[bonde|mabondeni]].
|
edits