Waluguru : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 3:
[[Lugha]] yao ni [[Kiluguru]].
 
Upande wa [[dini]], kwa kawaida wale wa wanaoishi mabondeni ni [[Waislamu]] na wale wa milimani ni [[Wakristo]], hasa wa [[Kanisa Katoliki]].siku hizi angalau hata mabondeni pia kuna wakkristo wengi na miliamani pia kuna mchanganyiko.
 
Kuna makundi makubwa mawili ya Waluguru. Makundi hayo ni Waluguru wanaoishi [[Milima|milimani]] na wale wanaoishi [[bonde|mabondeni]].