Neptuni (kisasili) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Redirecting to Neptun |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Neptuni''' alisadikiwa na watu wa [[Roma ya Kale]] kuwa [[mungu]] mmojawapo (kwa [[Kilatini]] "Neptunus") aliyetawala [[bahari]] na [[mito]].
[[Lugha]] nyingi [[duniani]] zimekopa [[jina]] hilo kwa ajili ya [[sayari]] ya [[nane]] kutoka [[jua]], kwa sababu katika tamaduni mbalimbali [[astronomia]] ya zamani haikujua [[sayari]] hiyo iliyojulikana tangu kupatikana kwa [[darubini]] tu, hivyo hazikuwa na jina kwa ajili yake.
[[Jamii:Roma ya Kale]]
|