Henry VIII wa Uingereza : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'image:Workshop of Hans Holbein the Younger - Portrait of Henry VIII - Google Art Project.jpg|thumb|200px|Mfalme Henri VIII alivyochorwa na [[Hans Holbein the...'
 
No edit summary
Mstari 2:
'''Henry VIII''' ([[28 Juni]] [[1491]] – [[28 Januari]] [[1547]]) alikuwa [[mfalme]] wa [[Uingereza]] kuanzia tarehe [[21 Aprili]] [[1509]] hadi [[kifo]] chake. Ni wa pili kutoka [[nasaba ya Tudor]], akimfuata [[baba]] yake, [[Henry VII]].
 
==Maisha na matukio==
Henry anajulikana hasa kwa [[Ndoa|kuoa]] [[wanawake]] [[sita]], mmoja baada ya mwingine, na hasa kwa juhudi zake za kubatilisha ndoa yake ya kwanza na [[CatherineKaterina wa AragonAragona]] zilizomfanya hatimaye atenganishe [[Anglikana|Kanisa la Uingereza]] na [[Papa]], akijifanya mkuu wa Kanisa. Pamoja na kutengwa na [[Kanisa Katoliki]] kwa sababu hiyo, aliendelea kusadiki mafundisho yake.<ref name="Scarisbrick361">{{harvnb|Scarisbrick|1997|p=361}}</ref>
 
Katika masuala ya ndani, Henry alijulikana kwa kubadilisha sana [[katiba]] ya nchi, akizidisha [[mamlaka]] yake mwenyewe. Waliopinga walishutumiwa kama wasaliti na mara nyingi kuhukumiwa [[adhabu ya kifo]], akiwemo [[waziri mkuu]] [[Thomas More]].
Line 10 ⟶ 11:
Aliunganisha Uingereza na [[Wales]] akawa pia mfalme wa kwanza wa Uingereza kushika nafasi ya mfalme wa [[Ireland]].
 
Mwanzoni wengi walipendezwa naye<ref>{{harvnb|Guy|2000|p=41}}.</ref>, lakini baadaye alizidi kunenepa, [[afya]] yake ilitetereka, na hata nafsi yake ilivurugika na kumfanya mzinzi, mkatili, mwoga.<ref>{{harvnb|Ives|2006|pp=28–36}}</ref> He was succeeded by his son [[Edward VI]].
 
Baada yake alitawala [[Mwana|mwanae]] [[Edward VI]].
 
== Tanbihi ==
{{Reflist|20em}}
 
=== Marejeo ===
{{refbegin|30em}}
*{{cite book |last=Arnold |first=Thomas |year= 2001 |title=The Renaissance at War |publisher=Cassell & Co. |location= London |isbn= 0-304-35270-5 |url= |ref=harv}}