Wanyiha : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Wanyiha''' ni [[kabila]] la watu wa [[Tanzania]] wanaoishi katika [[Mkoa wa Mbeya]], [[Wilaya ya Mbozi]]. Pia wako [[Zambia]]. [[Lugha]] yao ni [[Kinyiha]].
Wanyiha wamezungukwa na makabila mbalimbali wakiwemo [[Wasafwa]], [[Wandali]], [[Wanyakyusa]], [[Wabungu]] na [[Wanyamwanga]].
Wanyiha walio wengi ni [[wakulima]]:
{{mbegu-utamaduni-TZ}}
{{DEFAULTSORT:Nyiha}}
[[Jamii:Makabila ya Tanzania]]
[[Jamii:Makabila ya Zambia]]
▲Wanyiha walio wengi ni wakulima na zao kuu la chakula ni mahindi wakati zao kubwa la biashara ni kahawa. Wanyiha wamezungukwa na makabila mbalimbali wakiwemo wasafwa, wandali, wanyakyusa, wabungu na wanyamwanga.
[[Jamii:Wilaya ya Mbozi]]
|