Madawa ya kulevya : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Madawa ya kulevya''' ni [[hatari]] sana kwa [[binadamu]] kwa kuwa
Mfano wa madawa hayo ni kama [[kokaini]]
Kuna watu wengi walioathiriwa na madawa ya kulevya, lakini yanazidi kuenea kwa sababu ni [[biashara]] kubwa inayoingiza [[pesa]] nyingi.
[[Serikali]] inatakiwa kutoa [[elimu]] kuhusiana na [[dhara|madhara]] yatokanayo na matumizi ya madawa ya kulevya, kwani ni hatari kwa maisha ya binadamu na kwa [[jamii]].
Mara chache yanaweza kusaidia [[wagonjwa]] kwa kuwafanya wasisikie maumivu makali mno.
{{mbegu-tiba}}
[[Jamii:Afya]]
|