Umwagiliaji : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Wijom (majadiliano | michango) No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 5:
[[Picha:Irrigation in the Heart of the Sahara.jpg|thumbnail|200px|Umwagiliaji katika [[Sahara]] (Misri) kwa macho ya ndege: kila duara ina kipenyo cha kilomita moja]]
[[Picha:PivotIrrigationOnCotton.jpg|thumbnail|200px|Umwagiliaji wa [[pamba]] kwa njia ya [[kinyunyizo]] kikubwa kinachozunguka nchani]]
'''Umwagiliaji''' ni mtindo wa [[kilimo]] wa kupeleka [[maji]] kwa [[mimea]] [[Shamba|shambani]] pasipo
Hutumiwa katika maeneo [[yabisi]] au wakati mvua ni kidogo. Katika nchi [[baridi]] unatumiwa pia kwa kusudi la kulinda [[mazao]] dhidi ya [[jalidi]].
Ni kilimo ambacho kinasaidia sana, kwa mfano nchi ya [[Misri]] tangu zamani inategemea [[mto]] [[Naili]] katika shughuli zake za umwagiliaji wa mazao.
Mstari 18:
== Mbinu za umwagiliaji ==
Kuna mbinu nyingi za kumwagilia mazao. Tangu kale watu walichimba [[mfereji|mifereji]] wa kupeleka maji mashambani. Mashamba yazungukwa kwa [[ukuta]] mdogo wa [[udongo]] na eneo la shamba lajazwa maji. Kujazwa kwa shamba kunarudiwa hadi mazao (kwa mfano [[ngano]]) yamekua. Mazao mengine kama [[mpunga]] hukuzwa mara nyingi ndani ya maji yanayofunika shamba kwa miezi kadhaa. Mtindo huu
Mitambo kama [[pampu]] imewezesha [[wakulima]] kuachana na mifereji na kazi ya kugawa maji. [[Vinyunyizo]] vinamwaga maji kwa mashamba. Kuna [[mashine]] kubwa
Katika nchi
== Matatizo ==
|