Chuo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Chuo''' ni taasisi ya [[elimu]] ya pekee. Inatoa
==Asili na maana ya neno "chuo"==
Kiasili maana ya [[neno]] "chuo"
Kutokana na maana hii asilia "chuo" kimekuwa pia neno la kutaja mahali pa kujifunza kusoma, kwa hiyo katika [[Kiswahili]] cha miaka iliyopita kiliweza kutaja pia [[shule]].<ref>A. C. Madan Swahili-English Dictionary Oxford 1903: "Chuo, n. {vy-), (i) book; (2) school" ([https://ia801409.us.archive.org/2/items/swahilienglishdi00madauoft/swahilienglishdi00madauoft.pdf online hapa])</ref>. Leo hii matumizi ya neno ==Viwango vya vyuo==
Jina la "Chuo" linaweza kutaja taasisi zinazotoa elimu kwa ngazi tofauti sana. Hii itategemea na muundo wa elimu katika nchi mbalimbali.
*Chuo cha ufundi stadi, kwa mfano [[useremala]], mara nyingi kitafundisha [[wanafunzi]] waliotoka
* Chuo cha [[uganga]] kinapokea watu waliomaliza [[Sekondari|shule ya sekondari]] na kuwapa elimu wa kuwa msaidizi wa [[mwuguzi]] au [[daktari]] aliyesoma [[tiba]] kwenye [[chuo kikuu]] ("medical assistant").
*Vyuo vingine vinaweza kuwapeleka wanafunzi wao
*Katika nchi kadhaa chuo kinatoa [[elimu ya juu]] lakini katika fani moja tu, tofauti na [[chuo kikuu]] kinachofundisha fani mbalimbali na pia kuweka uzito kwenye [[uchunguzi]] wa kitaalamu, si mafundisho pekee.
==Wanafunzi na walimu==
|