Wimbo : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Tags: Mobile edit Mobile web edit
+kuboresha makala
Mstari 1:
'''Nyimbo/wimbo''' ni tungo zenye kufuata mapigo fulani ya kimi za kiafuziki yenye mahadhi ya kupanda na kushuka kwa mawimbi ya sauti (urari wa sauti) na mpangilios maalumu wa maneno. Nyimbo huundwa kwa lugha ya mkato na matumizi ya lugha ya picha (taswira). Muundo wa nyimbo huwa ni kuimbika na mizani ya kila mstari mara nyingi huwa inalingana. Nyimbo aghalabu huambatana na ala za muziki kama vile ngoma, zeze, marimba, makofi, vigelegele na kadhalika.
'''Wimbo''' au '''nyimbo''' ni aina ya [[sanaa]] katika [[fasihi]] ambayo hutumia lugha teule, sauti na kiimbo maalumu. Aghalabu wimbo/nyimbo hutumia ala za mziki kama vile ngoma. Nyimbo zinaweza kuimbwa na mtu mmoja au zaidi.
Wimbo hugawanywa katika beti na mishororo. Nyimbo nyingi huwa na kiitikio au mstari ambao hurudiwa-rudiwa. AINA ZA NYIMBO
Za ndoa
Za dini
Za tohara
Mbolezi
Za mpenzi
Bembelezi
Za kazi
 
Wahusika wa nyimbo huwa ni mtu mmoja au kikundi cha watu. [[Mashairi]] ya nyimbo huimbwa popote pale panapostahili kulingana na tukio au muktadha unaofungamana na wimbo. Hivyo basi kuna nyimbo za dini, harusi, siasa, jando/unyago, kilimo, nyimbo za kuwinda na kadhalika.
==Aina za nyimbo=nyimbo za ndoa=
 
{{mbegu-muziki}}