Wimbo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
+kuboresha makala |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''
Nyimbo huundwa kwa [[lugha]] ya mkato na matumizi ya lugha ya [[picha]] (taswira).
Wahusika wa nyimbo huwa ni mtu mmoja au kikundi cha watu. [[Mashairi]] ya nyimbo huimbwa popote pale panapostahili kulingana na tukio au muktadha unaofungamana na wimbo. Hivyo basi kuna nyimbo za dini, harusi, siasa, jando/unyago, kilimo, nyimbo za kuwinda na kadhalika. ▼
Muundo wa nyimbo huwa ni kuimbika na [[mizani]] ya kila mstari mara nyingi huwa inalingana.
Nyimbo aghalabu huambatana na [[ala]] za [[muziki]] kama vile [[ngoma]], [[zeze]], [[marimba]], makofi, [[vigelegele]] na kadhalika.
▲Wahusika wa nyimbo huwa ni mtu mmoja au kikundi cha watu. [[Mashairi]] ya nyimbo huimbwa popote pale panapostahili kulingana na tukio au muktadha unaofungamana na wimbo. Hivyo basi kuna nyimbo za [[dini]], [[harusi]], [[siasa]], [[jando]]/[[unyago]], [[kilimo]], nyimbo za kuwinda na kadhalika.
{{mbegu-muziki}}
[[Jamii:Muziki]]
|