Futi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 6:
Neno "futi" latumiwa pia kutaja [[chenezo]] au [[rula]] (chombo cha kupima urefu wa kitu).
Kipimo cha futi kiliingia katika Kiswahili tangu [[ukoloni]] wa [[Uingereza]]. Kimechukua nafasi ya [[vipimo asilia vya
Kihistoria urefu wa futi ilikuwa tofauti kati nchi na nchi. Leo hii inatumiwa zaidi [[Marekani]] lakini pia kwa uzoefu katika nchi zinazotumia sana lugha ya [[Kiingereza]] hata kama rasmi zimeshakubali vipimo sanifu vya kimataifa [[SI]].
|