Kangaruu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Masahihisho |
|||
Mstari 4:
| picha = Kangaroo_and_joey03.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha =
| domeni =
| himaya = [[
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| ngeli = [[Mammalia]] <small>(Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)</small>
| ngeli_ya_chini = [[Marsupialia]] <small>(Wanyama wanaobeba watoto wao ndani ya pochi ya ngozi))</small>
| oda = [[Diprotodontia]] <small>(Wanyama wenye meno makubwa mawili mbele kwa mdomo)</small>
| nusuoda = [[Macropodiformes]] <small>(Wanyama kama [[kangaruu]])</small>
| familia = [[Macropodidae]] <small>(Wanyama walio na mnasaba na kangaruu)</small>
| nusufamilia = [[Macropodinae]] <small>(Wanyama wanaofanana na kangaruu)</small>
| jenasi = [[Macropus]]▼
| bingwa_wa_jenasi = [[George Shaw|Shaw]], 1790
▲| jenasi =
| spishi = ''[[Macropus antilopinus|M. antilopinus]]'' <small>([[John Gould|Gould]], 1842)</small><br>
''[[Macropus fuliginosus|M. fuliginosus]]'' <small>([[Anselme Gaëtan Desmarest|Desmarest]], 1817)</small><br>
''[[Macropus giganteus|M. giganteus]]'' <small>(Shaw, 1790)</small><br>
''[[Macropus rufus|M. rufus]]'' <small>(Desmarest, 1822)</small>
}}
[[Picha:RedRoo.JPG|thumb|
'''Kangaruu''' (kutoka [[Kiingereza|Kiing.]]: [[w:Kangaroo|kangaroo]]) ni jina la wanyama [[mamalia]] wa spishi mbalimbali walio wenyeji wa [[Australia]]. Wote ni wala majani wanaobeba watoto wao wachanga ndani ya pochi ya ngozi iliyopo nje ya mwili juu ya tumbo wakiwa spishi zinazojulikana zaidi ya wanyama wa ngeli ndogo ya [[marsupialia]]. Familia ya spishi zao huitwa kwa jina la bioloja "Macropodidae" yaani wenye miguu mikubwa (Kigiriki ''makrós'' (kubwa) na ''poús
▲[[Picha:RedRoo.JPG|thumb|Kangaruu dume, Red Kangaroo huko Taronga Western Plains Zoo]]
▲'''Kangaruu''' (kutoka [[Kiingereza|Kiing.]]: [[w:Kangaroo|kangaroo]]) ni jina la wanyama [[mamalia]] wa spishi mbalimbali walio wenyeji wa [[Australia]]. Wote ni wala majani wanaobeba watoto wao wachanga ndani ya pochi ya ngozi iliyopo nje ya mwili juu ya tumbo wakiwa spishi zinazojulikana zaidi ya wanyama wa ngeli ndogo ya [[marsupialia]]. Familia ya spishi zao huitwa kwa jina la bioloja "Macropodidae" yaani wenye miguu mikubwa (Kigiriki ''makrós'' (kubwa) na ''poús, podós'' (mguu)). Kuna spishi zaidi ya 60 zinazojulikana.
Kwa matumizi ya kawaida neno hili hutumika kuelezea spishi hii kutoka kwenye familia kubwa hasa wale wa jenasi ya Macropus, kangaruu mwekundu, kangaruu wa kijivu wa magharibi na kangaruu wa kijivu wa mashariki[http://en.wikipedia.org/wiki/Kangaroo#cite_note-MSW3-0]. Kangaruu ni wazawa wa bara la Australia. Jamii nyingine kangaruu wengine wanapatikana pia Australia na New Guinea.
Line 32 ⟶ 31:
== Maelezo ==
[
Kuna spishi nne ambazo huonwa kuwa kama ni kangaruu.
Zaidi kuna wanyama wengine jamii ya macropods wanaohusiana kwa ukaribu na kangaroo kwenye familia ya macropods
[
Kwa muda mrefu Ulaya ilimuona kangaroo kama mnyama wa ajabu watu wa mwanzo walisema kuwa kangaroo wanakuwa kama tandala (bila ya pembe); amesimama kama binadamu na anaruka kama chura.
Kangaroo wana miguu ya nyuma yenye nguvu, maalumu kwa ajili ya kuruka, mkia mrefu wa nyuma wenye misuli kwa ajili ya balance, na kichwa kidogo, kangaroo jike huwa na mfuko (masupilim) ambamo mtoto humalizia kukua akiwa humo ndani.
Line 55 ⟶ 50:
== Chakula ==
[[Picha:Eastern_grey_kangaroo_dec07_02.jpg|thumb|
Kangaruu hula nyasi na majani ya vichaka, spishi ndogo za kangaruu hula fungi. Spishi nyingi huchanganyika usiku[http://en.wikipedia.org/wiki/Kangaroo#cite_note-archive-17] na hutumia muda mwingi wa mchana kupumzika kivulini, na kutembea kutafuta chakula jioni tulivu, usiku na asubuhi.
|