Utenzi wa Gilgamesh : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 71 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q8272 (translate me)
Mstari 4:
 
== Mapokeo ya utenzi wa Gilgamesh ==
Utenzi huu haujulikani kwa sehemu zake zote. Ulisahauliwa na kugunduliwa upya katika karne ya 19 wakati ambako [[wanaakiolojia]] walianza kusoma [[mwandiko wa kikabari]] uliosahauliwa kwa milenia. Toleo lililohifadhiwa vema ni vibao[[bamba vyaza udongomwandiko wa kikabari]] 12 vilivyotambuliwa katika mabaki ya mfalme [[Ashurbanipal]] (karne ya 7 KK). Maneno yake yamekamilishwa kutokana na matoleo mengine ya utenzi yaliyopatikana kwenye vibao vya udongo mahali pengine ingawa mara nyingi ni vipande tu si vibo kamili vilivyohifadhiwa baada ya muda mrefu.
 
Wataalamu hufikiri ya kwamba hadithi mbalimbali juu ya mfalme Gilgamesh zilisimuliwa na kuandikwa tangu muda mrefu hadi zilikusanywa katika utenzi mmoja kabla ya karne ya 7 KK.