Johannes Fibiger : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 20:29, 22 Mei 2006
Johannes Fibiger (23 Aprili 1867 – 30 Januari 1928) alikuwa daktari na mwanapatholojia kutoka nchi ya Denmark. Hasa alichunguza ugonjwa wa kansa. Mwaka wa 1926 alikuwa mshindi wa ‘’’Tuzo ya Nobel ya Tiba’’’.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |