Gerald Edelman : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
New page: left|80px '''Gerald Maurice Edelman''' (amezaliwa 1 Julai, 1929) ni daktari kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza kingamwili mbalimbali. Mwaka... |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 07:49, 21 Desemba 2007
Gerald Maurice Edelman (amezaliwa 1 Julai, 1929) ni daktari kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza kingamwili mbalimbali. Mwaka wa 1972, pamoja na Rodney Porter alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |