Ukahaba : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Replacing 0405.Annabell_002.jpg with File:A_German_prostitute's_self-portrait_in_a_brothel.jpg (by CommonsDelinker because: File renamed: #3). |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:A German prostitute's self-portrait in a brothel.jpg|thumb|right|350px|[[Picha]] ya
'''Ukahaba''' (kutoka [[
▲'''Ukahaba''' (kutoka [[ar.]] '''قحبه ''' ''qahabatun'' = malaya) ni tendo la kufanya [[ngono]] nje ya ndoa au uhusiano unaokubalika katika jamii, tena na watu mbalimbali na kwa malipo. Watendaji wanaopokea malipo huitwa kahaba au malaya; washiriki wanaotoa malipo huitwa wateja. Kama ukahaba unaendeshwa katika nyumba maalumu mahali panaitwa [[danguro]].
== Jinsi na namna ya ukahaba ==
Kimsingi kuna aina [[mbili]] za ukahaba.
# Malaya anajifanyia [[kazi]] na kuamua mwenyewe namna gani. Huyu atapatikana mara nyingi akitembea [[Barabara|barabarani]], kusubiri kwenye [[baa|mabaa]] au kwa kutangaza [[namba]] ya [[simu]]. Wanajitangaza pia kupitia [[intaneti]] na kukutana na wateja mahali mbalimbali.
# Malaya wanafanya kazi chini ya usimamizi wa mtu mwingine au watu wengine. Hali yao inaweza kufanana na aina ya [[ajira]] wakilipwa kwa kila tendo la ngono kutoka msimamizi anayepokea [[fedha]]; au wanatakiwa kutoa malipo kwake kutokana na mapato yao. Kundi hili lapatikana mara nyingi katika danguro, lakini wako pia barabarani katika maeneo maalumu wanapotazamiwa na [[kuwadi]]. Katika kundi hili kuna hasa aina ya [[utumwa]] wa kingono ambako mabinti na [[wanawake]] wanalazimishwa kujiuza kwa wateja.
[[picha:Prostitution laws of the world.PNG|thumb|right|350px|Sheria kuhusu ukahaba duniani
{{Legend|#008000|Ukahaba unaruhusiwa, kuna utaratibu wa kisheria}}
{{Legend|#000080|Ukahaba unaruhusiwa, danguro ni
{{Legend|#FF0000|Ukahaba ni marufuku}}
{{Legend|#ababab|hakuna habari juu ya nchi hizi}}</small>]]
== Hali ya kisheria ==
Misimamo ya jamii na [[sheria]] inatofautiana kati ya nchi na nchi. Hata kama ukahaba unapatikana kote [[duniani]], umepigwa marufuku katika nchi nyingi.
Kati ya misimamo kuhusu ukahaba iko ifuatayo:
* Ukahaba
* Ukahaba
* Ukahaba
* Ukahaba
* Utaratibu maalumu uko katika [[Uajemi]] ambako kuna "[[mutaa]]" au [[ndoa ya muda]] kulingana na mafundisho ya [[Washia|Kishia]]. Chini ya utaratibu wa mutaa kuna uhusiano
==Tanbihi==
{{marejeo}}
{{Wiktionary|ukahaba}}
{{mbegu-utamaduni}}
[[Jamii:
[[Jamii:Sheria]]
[[Jamii:Uchumi]]
|