Sakafu ya bahari : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Oceanic divisions.svg|thumb|300px|Sakafu ya bahari jinsi ilivyo kwenye mtelemko wa [[tako la bara]] kuelekea hadi vilindi vya bahari]]
'''Sakafu ya bahari''' ([[ing.]] ''seabed, sea floor, seafloor au ocean floor'') ni sehemu ya chini kabisa ya [[bahari]] au kwa lugha
Kina cha maji juu ya sakafu ya bahari kinacheza kati ya [[mita]] chache hadi takriban [[
Maeneo ya sakafu ya bahari huchunguliwa kwa kutumia [[nyambizi]] za utafiti na siku hizipia kwa picha na vipimo vya [[satelaiti]]. Kwenye sehemu penye kina kidogo hasa kwenye [[tako la bara]] inawezekana pia kwa [[wazamiaji]] kufika kwenye sakafu ya bahari.
Sawa na uso wa dunia barani sakafu ya bahari huwa na [[milima]], [[mabonde]], tambarare na [[volkeno]]. Kwa jumla maeneo mbalimbali ya sakafu ya bahari hufanana kati yao zaidi kuliko maeneo ya uso wa dunia barana kwa
[[jamii:Jiografia]]
|