Waraka kwa Waroma : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 9:
 
==Mazingira==
Ingawa [[Paulo]] alikaa [[Efeso]] miaka mitatu, [[moyo]] wake wa [[umisionari|kimisionari]] haukutulia kwa sababu alikumbuka alivyotabiriwa atafanya [[kazi]] hata mbali zaidi.
 
Ndiyo maana alitaka kwenda [[Ulaya magharibi]], yaani [[Roma]] na halafu [[Hispania]], [[nchi]] iliyohesabika kuwa mwisho wa [[dunia]]. Ila kabla ya kwenda huko alipanga kuwaletea Wakristo wa [[Yerusalemu]] mchango wa wenzao wa mataifa.
Mstari 36:
Kwa namna ya pekee inajibu kinaganaga maswali kuhusu [[wokovu]]: unapatikana kwa njia gani? Kwa nini Wayahudi wengi walishindwa kumuamini [[Yesu]] ili kuupata? Kwa nini mataifa yameupokea badala yao? Aliyepata wokovu anaishi vipi? Je, Wayahudi wametupwa moja kwa moja?
 
Ndiyo sehemu kuu ya barua ([[Rom 1]]:16-32; 2:1-29; 3:9-20; 3:21-31; 4:1-8; 4:23-25; 5:1-21; 6:1-14; 7:7-25; 8:1-39; 9:1-5; 11:1-36), ambayo inafuata [[salamu]] (1:1-8) na [[shukrani]].
 
Paulo alisisitiza kwamba wote ni wakosefu na wanaweza kuokolewa na Mungu tu: hiyo ni [[neema]] tupu, maana hakuna anayeweza kuistahili kwa [[juhudi]] zake.