Waraka kwa Wakolosai : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q131095 (translate me)
No edit summary
Mstari 1:
{{Agano Jipya}}
[[File:Harleianus 5557 (first page of Colossians).jpg|thumb|right|220px|[[Ukurasa]] wa kwanza wa [[waraka]] huu katika [[gombo]] [[Minuscule 321]].]]
 
Barua'''Waraka kwa [[Wakolosai]]''' ni kati ya [[vitabu]] 27 vya [[Agano Jipya]] ambalo pamoja na [[Agano la Kale]] linaunda [[Biblia]] ya [[Wakristo]].
 
Kama vitabu vingine vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya [[ufunuo]] wa [[Mungu]] kwa [[binadamu]].
 
== Muda wa uandishi ==
[[Barua]] hiyo ni mojawapo kati ya zile za mwishomwisho za [[Mtume Paulo]] na inaonyesha maendeleo ya [[teolojia]] yake, hasa kutokana na muda mrefu wa kutafakari aliojaliwa kifungoni.
 
Barua hiyo ni mojawapo kati ya zile za mwishomwisho za [[Mtume Paulo]] na inaonyesha maendeleo ya [[teolojia]] yake, hasa kutokana na muda mrefu wa kutafakari aliojaliwa kifungoni.
 
== Mazingira ==
 
[[Kanisa]] la [[Kolosai]], mji wa biashara karibu na [[Efeso]] lilianzishwa na mwanafunzi wa Paulo, labda [[Epafra]], halafu likaingiwa na mafundisho ya ajabuajabu yaliyochanganya mambo ya [[Kiyahudi]] na ya Kipagani na yaliyozingatia mno ukuu wa [[malaika]] juu ya ulimwengu.
 
Line 20 ⟶ 18:
 
== Mpangilio ==
 
Mpangilio wa barua ni kama kawaida ya barua za Paulo: utangulizi, mafundisho ya imani, maonyo kuhusu uzushi, mawaidha na hatima.
 
==Marejeo==
* R. McL. Wilson, ''Colossians and Philemon'' (International Critical Commentary; London: T&T Clark, 2005)
* Jerry Sumney, ''Colossians'' (New Testament Library; Louisville; Ky.: Westminster John Knox, 2008)
* TIB = The Interpreter’s Bible, The Holy Scriptures in the King James and Revised Standard versions with general articles and introduction, exegesis, [and] exposition for each book of the Bible in twelve volumes, [[George Arthur Buttrick]], Commentary Editor, Walter Russell Bowie, Associate Editor of Exposition, Paul Scherer, Associate Editor of Exposition, John Knox Associate Editor of New Testament Introduction and Exegesis, Samuel Terrien, Associate Editor of Old Testament Introduction and Exegesis, Nolan B. Harmon Editor, Abingdon Press, copyright 1955 by Pierce and Washabaugh, set up printed, and bound by the Parthenon Press, at Nashville, Tennessee, Volume XI, Philippians, Colossians [Introduction and Exegesis by Francis W. Beare, Exposition by G. Preston MacLeod], Thessalonians, Pastoral Epistles [The First and Second Epistles to Timothy, and the Epistle to Titus], Philemon, Hebrews
* TNJBC = The New Jerome Biblical Commentary, Edited by Raymond E. Brown, S.S., Union Theological Seminary, New York; NY, Maurya P. Horgan [Colossians]; Roland E. Murphy, O. Carm. (emeritus) The Divinity School, Duke University, Durham, NC, with a foreword by His Eminence Carlo Maria Cardinal Martini, S.J.; Prentice Hall, Englewood Cliffs, New Jersey, 1990
 
== KiungoViungo chavya nje ==
===Tafsiri ya Kiswahili===
* [http://www.intratext.com/IXT/SWA0013/_INDEX.HTM] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili
 
===Vinginevyo===
{{wikisource|Colossians (Bible)|Colossians}}
{{wikiquote}}
* [http://www.gospelhall.org/bible/bible.php?passage=Colossians+1 ''Online Bible'' at GospelHall.org]
* [http://www.earlychristianwritings.com/colossians.html Collection of translations and commentary on Colossians]
* [http://bible-book.org/en/pauline-epistles/colossians/ Colossians at Bible-book.org]
{{mbegu-AganoJ}}
[[Jamii:Vitabu vya Agano Jipya|Kol]]
[[Jamii:Mtume Paulo]]