Rais : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Rais''' (kutoka [[
Rais wa nchi huwa anachaguliwa ama na wananchi wote au na [[bunge]]. Katika nchi kadhaa kuna pia mkutano maalumu Kuna aina mbili za rais kufuatana na katiba za nchi mbalimbali:
* rais kama mkuu wa serikali, jinsi ilivyo [[Marekani]] na pia katika nchi nyingi za [[Afrika]] ([[serikali ya kiraisi]]).
* rais kama mkuu wa nchi
Katika [[muundo]] wa serikali ya kibunge shughuli za serikali zinasimamiwa na [[waziri mkuu]]. [[Madaraka]] ya rais katika muundo huo hufanana na madaraka ya [[mfalme]] wa kikatiba isipokuwa hayupo kama rais kwa muda wa maisha yake kama mfalme.
Katika nchi chache, yaani [[Uswisi]], [[San Marino]] na [[Uruguay]], [[kazi]]
==Marejeo==
|