Waraka wa Yakobo : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 55 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q131097 (translate me)
No edit summary
Mstari 1:
{{Agano Jipya}}
'''BaruaWaraka yawa Yakobo''' ni kati ya [[vitabu]] 27 vinavyounda [[Agano Jipya]] katika [[Biblia ya Kikristo]].
 
Kama vitabu vingine vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya [[maendeleo]] ya [[ufunuo]] wa [[Mungu]] kwa [[binadamu]].
'''Barua ya Yakobo''' ni kati ya vitabu 27 vinavyounda [[Agano Jipya]] katika [[Biblia ya Kikristo]].
 
Kama vitabu vingine vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya [[ufunuo]] wa [[Mungu]] kwa [[binadamu]].
 
== Mazingira ==
Kitabu hiki labda kiliandikwa [[miaka ya 80]] [[B.K.]] kikitumia [[jina]] la Yakobo, lakini [[wataalamu]] hawapatani kuhusu huyo ni nani, aliandika wapi na lini.
 
Kwa hakika walengwa wa kitabu ni [[Wakristo]] wa [[Kiyahudi]] wenzake, lakini si [[barua]] halisi, bali ni mchanganyiko wa [[mawaidha]] yanayofuata mtindo wa [[vitabu vya hekima]] na kuwa kama [[mwangwi]] wa [[hotuba ya mlimani]] ya [[Yesu]].
Kitabu hiki labda kiliandikwa miaka ya 80 [[B.K.]] kikitumia jina la Yakobo, lakini wataalamu hawapatani kuhusu huyo ni nani, aliandika wapi na lini.
 
Kwa hakika walengwa wa kitabu ni [[Wakristo]] wa [[Kiyahudi]] wenzake, lakini si barua halisi, bali ni mchanganyiko wa mawaidha yanayofuata mtindo wa vitabu vya hekima.
 
Lengo lake ni kuhakikisha [[Ukristo]] usiishie katika mawazo mazuri, bali [[imani]] ijitokeze katika matendo mema.
 
Lengo lingine ni kuwakuza [[fukara|mafukara]] na kuwakemea [[tajiri|matajiri]], kadiri ya mwelekeo wa [[Kanisa]] la [[Yerusalemu]] (Yak 1:1-2:26; 4:1-5:6).
 
 
== Kiungo cha nje ==
* [http://www.intratext.com/IXT/SWA0013/_INDEX.HTM] Agano Jipya kwa [[lugha]] ya [[Kiswahili]]
{{mbegu-AganoJ}}
 
[[Jamii:Vitabu vya Agano Jipya|Yak]]