Wikipedia:Sanduku la mchanga : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 5:
<big>'''ANZA HAPO CHINI - START BELOW THIS:'''</big>
 
==Watu==
Wakazi karibu wote ni Wakorea asilia, isipokuwa Wachina na Wajapani wachache.
 
[[Lugha]] yao ni [[Kikorea]], kinachotumika hata Korea Kusini na katika maeneo kadhaa ya China.
 
Upande wa [[dini]], kuna [[dhuluma]] kubwa, ingawa [[katiba]] inatangaza [[uhuru wa dini|uhuru]]. Kwa jumla kumbukumbu za nchi katika kuheshimu [[haki za binadamu]] si nzuri hata kidogo. Pamoja na hayo, 16% wanafuata [[dini za jadi]], 13.5% [[Uchondo]] (mchanganyiko wa dini za jadi, [[Ubuddha]], [[Utao]] na [[Ukatoliki]]), 4.5% ni Wabuddha na 1.7% [[Wakristo]].
'''Sungaji ''' ni jina la kata ya [[Wilaya ya Mvomero]] katika [[Mkoa wa Morogoro]] , [[Tanzania]]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa [[2012]], kata ilikuwa na wakazi wapatao 14,508 <ref>[http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf Sensa ya 2012, Morogoro - Mvomero DC]</ref> waishio humo.
 
==MarejeoUchumi==
[[Picha:Korean Peninsula at night from space.jpg|300px|thumb|Picha ya Rasi ya Korea kutoka angani wakati wa usiku inaonyesha upungufu wa umeme katika kaskazini; Korea Kusini inaonyesha nuru nyingi lakini Kaskazini iko gizani, ]]
 
Uchumi wa pande zote mbili za Korea ulikuwa duni sana baada ya Vita Kuu ya Pili.
{{marejeo}}
Mwanzoni nchi ilifuata mfano wa kutunga mipango ya miaka mitano kama Urusi. Viwanda, maduka na biashara yote vilitaifishwa na kuwekwa mkononi mwa dola. Siasa ililenga hali ya kujitegemea na biashara ya nje ilitekelezwa tu na nchi za kikomunisti. Pamoja na msaada kutoka Urusi na China kulikuwa na maendeleo ya haraka ya kiuchumi hadi mnamo 1960. Hapo tija ya mfumo wa uchumi unaopangwa ulianza kufikia misho wake na kuonyesha upungufu wa nguvukazi, ardhi ya kulima na vyombo vya usafiri na malengo ya mipango hayakufikiwa tena<ref>8http://cdn.loc.gov/master/frd/frdcstdy/no/northkoreacountr00word/northkoreacountr00word.pdf Country Study North Korea uk. 138]</ref>.
{{Kata za Wilaya ya Mvomero}}
[[Jamii:Mkoa wa Morogoro]]
[[Jamii:Wilaya ya Mvomero]]
 
Kuanzia 1980 Korea Kusini ilianza kupita mafanikio ya uchumi wa kaskazini. REF 142
 
Mwaka 1993 Korea Kaskazini iliacha kutangaza mipango ya uchumi. REF 140
'''Tchenzema ''' ni jina la kata ya [[Wilaya ya Mvomero]] katika [[Mkoa wa Morogoro]] , [[Tanzania]]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa [[2012]], kata ilikuwa na wakazi wapatao 11,229 <ref>[http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf Sensa ya 2012, Morogoro - Mvomero DC]</ref> waishio humo.
 
Kuanzia mnamo 1991 kuporomoka kwa Umoja wa Kisovyeti na nchi nyingine za kikomunisti kulileta kupotea kwa masoko ya nje na mwisho wa misaada kutoka nje. Uzalishaji wa vyakula ulipungua sana kwa sababu matrekta na mashine nyingine ziliharibika bila vipuli kupatikana, Viwanda vya mbolea vilikwama kutokana na uhaba wa mafuta na kuharibika kwa mashine. Wananchi walianza kuona njaa iliyoua angalau nusu milioni katika kipindi cha 1994 hadi 2000 REF [https://piie.com/publications/wp/99-2.pdf Noland, Marcus, Sherman Robinson and Tao Wang, Famine in North Korea: Causes and Cures, Institute for International Economics]REF
==Marejeo==
 
Kuanzia mwaka 2000 msaada wa kimataifa ulileta msaada lakini uchumi ulibaki duni kwa sababu miundombinu iliyochakaa na uzalishaji mdogo wa umeme. Majaribio ya kulegeza uchumi wa kupangwa yalileta nafuu kwa sehemu za wananchi ilhali wanachama wa chama tawala, jeshi na wakazi wa miji mikubwa hasa Pyonyang walipewa kipaumbele lakini hali mbaya imeendelea hasa vijijini. Serikali bado inatwala karibu viwanda vyote na asilimia kubwa ya pato la taifa linatumiwa kwa jeshi ambalo ni jeshi kubwa duniani.{{cite web|url=http://www.britannica.com/EBchecked/topic/322222/North-Korea/34929/Economy|title=Economy|publisher=Encyclopædia Britannica Online|accessdate=31 May 2014}}</ref>
{{marejeo}}
 
{{Kata za Wilaya ya Mvomero}}
Kuanzia mwaka 1998 masoko madogo ya wakulima yaliruhusiwa tena lakini serikali iliajaribu ya kuyabana tena tangu 2009. Ililazimishwa kuyaruhusu tena <ref>[http://www.dailynk.com/english/read.php?cataId=nk00400&num=7084 Kim Jong Eun's Long-lasting Pain in the Neck], TheDailyNK, 30 November 2010</ref>
[[Jamii:Mkoa wa Morogoro]]
 
[[Jamii:Wilaya ya Mvomero]]
Food and housing are extensively subsidized by the state; education and healthcare are free;{{Sfn|Country Profile|2007|p = 8}} and the payment of taxes was officially abolished in 1974.<ref name="taxfree">{{cite web|url=http://www.globalsecurity.org/wmd/library/news/dprk/2006/dprk-060321-kcna03.htm |title=DPRK—Only Tax-free Country |accessdate=19 June 2009}}</ref> A variety of goods are available in department stores and supermarkets in Pyongyang,<ref>{{cite web|url=http://news.msn.com/world/pyongyang-glitters-but-most-of-north-korea-still-dark|title=Pyongyang glitters but most of North Korea still dark|publisher=AP through MSN News|date=28 April 2013|accessdate=15 June 2014}}</ref> though most of the population relies on small-scale ''[[jangmadang]]'' markets.<ref>[http://www.dailynk.com/english/read.php?cataId=nk00400&num=2828 Jangmadang Will Prevent "Second Food Crisis" from Developing], DailyNK, 26 October 2007</ref><ref>[http://www.dailynk.com/english/read.php?cataId=nk00100&num=4409 2008 Top Items in the Jangmadang], The DailyNK, 1 January 2009</ref>