Masafa ya mawimbi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[file:Periodic waves in shallow water.png|thumb|300px|Picha inaonyesha mawimbi kwenye bahari; alama ya λ inaonyesha umbali kati ya vilele vya mawimbi mawili au urefu wa wimbi = lukoka.]]
[[Picha:Sine wavelength.svg|300px|thumbnail|Lukoka au urefu wa wimbi hupimwa kati ya sehemu zinazolingana ya mawimbi mawili.]]
'''Urefu wa wimbi''' (pia '''masafa'''<ref>Kamusi ya TUKI</ref>, mara chache '''lukoka'''<ref>Lukoka ni [[pendekezo]] la [[KAST]], [[1995]] lisilotumika sana</ref>; kwa [[Kiingereza]] ''wavelength'') ni namna ya kupima na kutaja [[ukubwa]] wa [[wimbi]].
 
Ni [[umbali]] kati ya sehemu za kulingana za mawimbi mawili ambayo yanafuatana, kwa mfano kati ya [[kilele]] na kilele au ma[[bonde]] yao.