Daniel Auber : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 20:46, 22 Mei 2006
Daniel Auber (29 Januari 1782 – 12 Mei 1871) alikuwa mtungaji wa muziki kutoka nchi ya Ufaransa. Alikuwa mwanafunzi wa Luigi Cherubini. Hasa alitunga muziki ya opera.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |