Kilatini : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
+viungo vya nje |
|||
Mstari 8:
* lugha mama ya [[lugha za Kirumi]] kama [[Kiitalia]], [[Kihispania]], [[Kireno]], [[Kifaransa]] na [[Kiromania]]
* lugha ya elimu na sayansi katika [[Ulaya]] kwa karne nyingi
* lugha rasmi ya [[serikali]] katika nchi nyingi za Ulaya kati ya mwisho wa Dola la Roma mwaka<!--
* lugha pekee ya [[liturgia]] katika [[Kanisa la Kilatini]] hadi 1965
Mstari 15:
* lugha rasmi katika nchi ya [[Vatikano]]
[[Picha:Map-Romance Language World.png|thumb|250px|Ramani ya uenezaji wa [[lugha za Kirumi]] za leo zilizotkana na Kilatini]]
Kilatini ina athira kubwa katika lugha ya [[sayansi]] na [[elimu]]. Hadi leo hufundishwa mashuleni hasa Ulaya kama lugha ya kigeni.
[[Kiswahili]] kimerithi maneno ya asili ya Kilatini hasa kupitia [[Kiingereza]] kilichopokea karibu asilimia sitini ya maneno yake yote kutoka Kilatini kupitia hasa Kifaransa. Maneno mengine ya Kilatini yameingia Kiswahili kupitia Kireno, Kifaransa n.k.
|