2006
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 20 |
Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1970 |
Miaka ya 1980 |
Miaka ya 1990 |
Miaka ya 2000
| Miaka ya 2010
◄◄ |
◄ |
2002 |
2003 |
2004 |
2005 |
2006
| 2007
| 2008
| 2009
| 2010
| ►
| ►►
Jan.
| Feb.
| Mac.
| Apr.
| Mei
| Jun.
| Jul.
| Ago.
| Sep.
| Okt.
| Nov.
| Des.
Makala hii inahusu mwaka 2006 BK (Baada ya Kristo).
Matukio hariri
Waliozaliwa hariri
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
Waliofariki hariri
- 4 Januari - Maktoum bin Rashid Al Maktoum, Waziri Mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu na mtawala wa Dubai
- 28 Februari - Owen Chamberlain (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1959)
- 7 Machi - Gordon Parks, msanii wa Marekani
- 7 Machi - Ali Farka Toure, mwanamuziki kutoka nchi ya Mali
- 11 Machi - Slobodan Milosevic, Rais wa Serbia (1989-2000)
- 20 Machi - Ali Muhsin al-Barwani, mwanasiasa kutoka Zanzibar
- 29 Machi - Moshi William, mwanamuziki kutoka Tanzania
- 19 Aprili - Ellen Kuzwayo, mwandishi kutoka Afrika Kusini
- 13 Mei - Peter Viereck, mshairi kutoka Marekani
- 14 Mei - Stanley Kunitz, mshairi kutoka Marekani
- 14 Mei - Robert Merrifield, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1984
- 31 Mei - Raymond Davis, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 2002
- 4 Julai - Lars Korvald, mwanasiasa kutoka Norwei
- 11 Agosti - Mazisi Kunene, mwandishi kutoka Afrika Kusini
- 19 Agosti - Joseph Hill, mwimbaji kutoka Jamaika
- 28 Agosti - Melvin Schwartz (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1988)
- 30 Agosti - Nagib Mahfuz (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1988)
- 9 Oktoba - Marek Grechuta, mwanamuziki kutoka Poland
- 12 Oktoba - Wanjiru Kihoro, mwandishi kutoka Kenya
- 31 Oktoba - Pieter Willem Botha, Waziri Mkuu na Rais wa Afrika Kusini
- 1 Novemba - William Styron, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer mwaka wa 1968
- 26 Desemba - Gerald Ford, Rais wa Marekani (1974-1977)
- 30 Desemba - Saddam Hussein, rais wa Iraki hadi mwaka 2003, ananyongwa baada ya kuhukumiwa adhabu ya kifo kwa makosa ya jinai dhidi ya binadamu
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu: